Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kumbe issue ni budget na siyo matumizi na kubana ajili ya wananchi? shame on youHata kama 10 Billion ni ndani ya budget yake au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe issue ni budget na siyo matumizi na kubana ajili ya wananchi? shame on youHata kama 10 Billion ni ndani ya budget yake au?
Na raha zaidi ni pale CAG anapotoa taarifa rasmi ya mahesabu ya sehemu fulani, wengine wa huko kulikokaguliwa huikataa taarifa hiyo na kuiita ya uwongo..Raha ya Tanzania kila mtu ni CAG na niwabobezi ktk ukaguzi wa mahesabu mixer (VFM)[emoji1787][emoji23]
Kwa hiyo kwenye bajeti ukiweka na hela za kupiga siyo issu?? Kisa ya kupigwa imo kwenye bajeti?Hata kama 10 Billion ni ndani ya budget yake au?
Sahihi kabisa, Msigwa anaupiga mwingi kwenye propaganda za kitoto.#Msigwa4President!
Bila bilaSahihi kabisa, Msigwa anaupiga mwingi kwenye propaganda za kitoto.
Ndege binafsi au ulikusudia kusema Ngege yenye abiria wengine?Sio kweli kwamba ameokoa fedha, wanaomshauri Mh rais wapo na interest zao hasa kwa masuala ya per diem.
wameweza kumwingiza chaka kwa sababu Rais anatakiwa asafiri kwa ndege yake lkn kwa sababu inabeba abiria wachache wameamua kumdanganya kwa kuwa aghalabu ndege yake yenye kubeba abiria 18 kuna wengi wangeachwa kwenye msafara na ndio maana wanamdanganya wana save pesa lkn kwa idadi wa delagation ya watu 70 anaosafr nao ni dhahiri upo upotevu mkubwa wa fedha zinazolipwa kama per diem and accomodation.
Lakini kiusalama kwa kweli bado kusafiri na ndege binafsi si afya sana kwa mkuu wa nchi!!
Mama ajitazame!
Kweli wewe ni janga, pesa tulizopata kwa maana tumeokota??Ni vijipesa vidogo tu havifiki ata cent 5 kwa pesa tulizo pata kwenye safari
Sidhani kama umeelewa point yake.Kwa hiyo kwenye bajeti ukiweka na hela za kupiga siyo issu?? Kisa ya kupigwa imo kwenye bajeti?
Kwahio wewe msamiati wa kubana matumizi hukuwahi kuusikia ?Hata kama 10 Billion ni ndani ya budget yake au?
Kiitifaki Rais huwa ana msafara mkubwa wa watu pale anaposafiri. Yeye hawezi kusafiri kama abiria mwingine na kuwa na uamuzi wa kukaa katika "economy class". Yeye lazima atakaa katika "business class" na msafara wake.“Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji.
Mhe. Rais alisafiri kwa kutumia ndege hizo kama abiria.
Ameokoa fedha nyingi ikilinganishwa na kama angetumia ndege binafsi ama angechukua ndege ya ATCL ama angekodi.
Pia soma:
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji
View attachment 2127338
Nimecheka mpaka nikajambaKwanini akipanda ndege huwa hakuna ulinzi wa msafara wake kama ilivyo barabarani au angani hakuna maadui adui zake ni sisi walalahoi ambao hatuwezi kupanda ndege?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe“Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji.
Mhe. Rais alisafiri kwa kutumia ndege hizo kama abiria.
Ameokoa fedha nyingi ikilinganishwa na kama angetumia ndege binafsi ama angechukua ndege ya ATCL ama angekodi.
Pia soma:
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji
View attachment 2127338
Hakufaa hata kuitwa waziriRais aliyoipigia debe Waziri Mramba kwa inunuliwe hata ikewezekana kwa kupitia gharama ya Watanzania kula nyasi bado ipo?
Huyu bado ni bla bla kama kipindi cha mwenda zakeMbona hatuoni air ticket? onyesheni basi na siyo kuongea tu kwa mdono
Ni lazima ujambe.Kwani JF imekuwa kijiwe cha wajinga wengi wasioweza hata kuleta hoja za kujenga.Nimecheka mpaka nikajamba
Sio saa zingine endelea kuwafuatilia utagundua mengi.
Nawafatilia ila sitaki shikwa akiliSio saa zingine endelea kuwafuatilia utagundua mengi.
Hao sabini ume kokotoa wapi? Tanzania kila mtu anajua kila kituSio kweli kwamba ameokoa fedha, wanaomshauri Mh rais wapo na interest zao hasa kwa masuala ya per diem.
wameweza kumwingiza chaka kwa sababu Rais anatakiwa asafiri kwa ndege yake lkn kwa sababu inabeba abiria wachache wameamua kumdanganya kwa kuwa aghalabu ndege yake yenye kubeba abiria 18 kuna wengi wangeachwa kwenye msafara na ndio maana wanamdanganya wana save pesa lkn kwa idadi wa delagation ya watu 70 anaosafr nao ni dhahiri upo upotevu mkubwa wa fedha zinazolipwa kama per diem and accomodation.
Lakini kiusalama kwa kweli bado kusafiri na ndege binafsi si afya sana kwa mkuu wa nchi!!
Mama ajitazame!
Mumeanza kutafuta jengine sio?! Haya mic kwako mh. Msigwa.Kwanini akipanda ndege huwa hakuna ulinzi wa msafara wake kama ilivyo barabarani au angani hakuna maadui adui zake ni sisi walalahoi ambao hatuwezi kupanda ndege?