Msigwa: Rais Samia hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji

Msigwa: Rais Samia hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji

Onyesheni tiketi zake tuzione, sisi ndio waajiri wake...tumemwajiri kwa niaba. Mnaficha ficha vitu gani...hizo pesa sio za ukoo wenu peke yenu, ni za wananchi wote waishio Tanzania. Taarifa za Rais zinatakiwa kuwa wazi wananchi tujue haaaa!. Wanajibu kwa mafungu mafungu utafikiri wako sokoni wanauza nyanya wamesahau haya ni mambo ya kitaifa na wananchi wanatakiwa kujua kinachoendelea
 
“Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji.

Mhe. Rais alisafiri kwa kutumia ndege hizo kama abiria.

Ameokoa fedha nyingi ikilinganishwa na kama angetumia ndege binafsi ama angechukua ndege ya ATCL ama angekodi.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

View attachment 2127338
Basi na humu ndani awe anapanda mabasi na daladala Ili aokoe Tena fedha nyingi SANA
 
Back
Top Bottom