Msigwa: Rais Samia hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji

Raha ya Tanzania kila mtu ni CAG na niwabobezi ktk ukaguzi wa mahesabu mixer (VFM)[emoji1787][emoji23]
Na raha zaidi ni pale CAG anapotoa taarifa rasmi ya mahesabu ya sehemu fulani, wengine wa huko kulikokaguliwa huikataa taarifa hiyo na kuiita ya uwongo..
 
Sahihi kabisa, Msigwa anaupiga mwingi kwenye propaganda za kitoto.
Bila bila

Kwenye ^sirikali^ ya Bi Mikopo, usipoupiga mwingi, kipengele lazima kipulizwe na utolewe nje ya uwanja hata kama hukuugusa mpira wala kufanya kosa lolote!

Kigezo ni KUUPIGA MWINGI!
 
Ndege binafsi au ulikusudia kusema Ngege yenye abiria wengine?
 
Hata kama 10 Billion ni ndani ya budget yake au?
Kwahio wewe msamiati wa kubana matumizi hukuwahi kuusikia ?

Pili kwa mwendo huu wa kukopa na matozo huenda its time to revisit hizo budget (Au haiwezekani watu kujiwekewa Budget ya kumaliza mpaka ukoko)
 
Kiitifaki Rais huwa ana msafara mkubwa wa watu pale anaposafiri. Yeye hawezi kusafiri kama abiria mwingine na kuwa na uamuzi wa kukaa katika "economy class". Yeye lazima atakaa katika "business class" na msafara wake.

Kwa hiyo basi usafiri wake na msafara wake bado hugharimu fedha nyingi, ijapokuwa gharama yake haitakuwa sawa na kutumia usafiri wa ndege binafsi. Hivi ndege ya Rais aliyoipigia debe Waziri Mramba kwa inunuliwe hata ikewezekana kwa kupitia gharama ya Watanzania kula nyasi bado ipo?
 
Kwanini akipanda ndege huwa hakuna ulinzi wa msafara wake kama ilivyo barabarani au angani hakuna maadui adui zake ni sisi walalahoi ambao hatuwezi kupanda ndege?
Nimecheka mpaka nikajamba
 
Rais aliyoipigia debe Waziri Mramba kwa inunuliwe hata ikewezekana kwa kupitia gharama ya Watanzania kula nyasi bado ipo?
Hakufaa hata kuitwa waziri
 
Hao sabini ume kokotoa wapi? Tanzania kila mtu anajua kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…