Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Una mimba ya Mbowe?CDM kuchukua dola siyo Katiba tu wajaribu kubadilisha aina na mbinu za kuendesha siasa nchini na hususani CDM ichitenge na ukaskazini na ndicho kilichowagharimu 2015 baada ya kuingiza ukanda baada ya kumpata Lowasa.
Kikubwa wabadilishe uongozi wa juu wamwondoe Mbowe aje mwenye mawazo mapya vinginevyo si rahisi kushinda na kuchukua dola kwa mazingira ya sasa. CCM imekuwa ikibadilisha siasa zake kulingana na wakati kwa athari mbaya au nzuri.
Mpuuzie tu huyu singo maza ..... ana stress za maisha,.
Ile LEGACY ya dictator mminya haki za binadamu kutaka aishi kwenye mioyo ya watanzania licha ya kuwakosesha furaha kwa miaka 6Legacy gani unayoihoji?
hapo nina amini kwani kuna watu watakua wamepumzika kwa amani!chadema itakamata dola 2090
La msingi tupate katiba inayoendana na wakati maana sidhani kama katiba mpya inatafutwa ili chadema ichukue nchi bali inahitajika kwa manufaa mapana ya taifa.Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Ndugu yangu, nadhani kichwani mwako kuna mahali pameyumba.Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Kwani nchi hii ina hatimilki ya kutawaliwa na CCM tu? Jamani ee SIASA siyo chuki na mambo yanabadilika.Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Mami kinehe !!. Katiba mpya ya wananchi si kwa ajili ya chama fulani kuchukuwa madaraka. Ni kwa ajili ya wananchi kujiamulia mustkbali wao. Katiba mpya si kwa ajili ya uchaguzi tu . Tuna mapungufu mengi sana juu ya wananchi kujiletea maendeleo yao.Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Jiwe atakuwa na legacy gani, kama kwa kila kigezo anafanana na Idd Amin?Hiyo kiki ya legacy ya jiwe imepuma
Ccm inalindwa na dola. Nothing elseCDM kuchukua dola siyo Katiba tu wajaribu kubadilisha aina na mbinu za kuendesha siasa nchini na hususani CDM ichitenge na ukaskazini na ndicho kilichowagharimu 2015 baada ya kuingiza ukanda baada ya kumpata Lowasa.
Kikubwa wabadilishe uongozi wa juu wamwondoe Mbowe aje mwenye mawazo mapya vinginevyo si rahisi kushinda na kuchukua dola kwa mazingira ya sasa. CCM imekuwa ikibadilisha siasa zake kulingana na wakati kwa athari mbaya au nzuri.
Ila cut ya prof na nccr zits kamata na kijani itapoteza.Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Acha uongo. HaukusaidiiChadema sio chama cha siasa, ni mob/mafia family.
Chama gani cha siasa kinaongozwa na kabila moja na mwenyekiti mmoja zaidi ya miaka 15 halafu wanataka demokrasia.
Hii nchi bora hata tumpe Mzee Hashim Rungwe kuliko Mbowe na chama chake.
Tatizo kubwa watanzania wengi bado ni wajinga...
Hata jiwe mlisema mtamuongezea muda WA uongozi ili akamilishe miradi yake.chadema itakamata dola 2090
Anayo hoja. Wanaoshadidia katiba mpya ni chadema wakiwa mahsusi kwenye mrengo wa kuleta fujo. Hili halivumilikiKwani nchi kupata katiba mpya ni kwa ajili ya wananchi au CDM?
Wewe ndio mjinga kwa sababu hujajibu hoja yake bali unajibu kwa kuwa ni chademaKatiba Sio ya chama Bali ya watanzania na taifa.Anayeamini katiba ni kwa ajili ya vyama ni mjinga.Katiba ndo uhai wa taifa letu miaka mingi ijayo
Ahaaa, upo sawa, lakini mtazamo wa chama cha siasa chochote ni kukamata dola, Chadema wanajidanganya kuwa huwa wanashindwa uchaguzi sababu ya katiba iliyopo. Hapo nafikiri umenisoma.Mami kinehe !!. Katiba mpya ya wananchi si kwa ajili ya chama fulani kuchukuwa madaraka. Ni kwa ajili ya wananchi kujiamulia mustkbali wao. Katiba mpya si kwa ajili ya uchaguzi tu . Tuna mapungufu mengi sana juu ya wananchi kujiletea maendeleo yao.
Kuna mambo mengi mengine yapo nje ya mada, lakini yanakwamishwa na katiba mbovu hii yenye elements za ki koloni. Mfano mamlaka ya Rais ya uteuzi inatakiwa idhibitiwe. Pili kitendo cha wananchi kuchaguwa watu wao, halafu hao hao wanakosa nguvu dhidi ya wateule wa Rais ni makosa . Mambo ni mengi . Toka nje ya box utaona mwanga