Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Manufaa ya Katiba Mpya na nzuri sio lazima yamwaingize CHADEMA uongozini - manufaa ya Katiba Mpya na nzuri ni kwa ajili ya wananchi wenyewe na wale watakaotuongoza wawe ni TADEA, UDP, CHAUSA, ACT WAZALENDO, CUF au chama chochote kile. Issue ni kuongozwa kwa misingi iliyowekwa veme katik Katiba. Ninaona hulielewei hili kwa sababu ya chuki zako dhidi ya CHADEMA!
 
Mtaji wa CCM ni wananchi walio wajinga.
Sasa mbona wwew hujatueleza ujanja wako tukusikilize...ujanja uliokuwa nap ili sisi wajinga tuamue kukuunga mkono..acha ujuha wewe
 
Hakuna chuki, hujaelewa ninamaanisha nini.
 
Utungaji wa Katiba mpya ya nchi au dola ni mchakato tofauti na wa pekee na ule wa urekebishaji wa Katiba iliyopo.
(Chanzo: Tovuti Kuu ya Serikali: Katiba )
Katiba mpya inaweza kufanya CHADEMA kufika madaraka au kutokushika... suala la Msingi ni kuweka demokrasia Salama kwenye taasisi za kiserekali. Sio hoja ya CHADEMA Bali ni hoja ya msingi ya kila mtanzania...
Nipo
 

Attachments

  • IMG_2765.jpg
    147.3 KB · Views: 1
  • IMG_2764.jpg
    152.1 KB · Views: 1
Hata hapa tulipo sio mbaya chuki yenu tunajua inapo toka jamani ilikuwa unahonga kwenye chama chenu ili uteliwe kuwa mbunge ukipata basi wewe ndiyo mbunge wengine wauza hata nyumba kwa ajili ya kuhonga.CDM wamebadili upepo uza nyumba kagawe pesa kwenye vikao njoo kwenye campaign ukione.
 
Sasa mbona wwew hujatueleza ujanja wako tukusikilize...ujanja uliokuwa nap ili sisi wajinga tuamue kukuunga mkono..acha ujuha wewe

"Mnisikilize" kwani unamaanisha wewe na nani?

Mbona ni kitabia fulani cha ujuha uliopitiliza kujipa dhamana ya watu ambao hawajakutuma kuwasemea?

Hiiiiii bagosha!
 
Tunataka katiba mpya ya CHADEMA yenye ukomo wa Mbowe kuwa mwenyekiti.
 
Katiba hii mbovu ndio ilipelekea marehemu Magufuli kufanya yafuatayo:
1.Kutopandisha madaraja watumishi wa umma
2. Kuua wapinzani wake
3.Kuteka na kubambikiza kesi wapinzani wake au wowote.
4.Kutaka kuongeza muda wa urais
5.Kufanya miradi mikubwa bila mikataba kuwekwa wazi
6.Kujiona mungu-mtu.


Je, kktk haya, CHADEMA tu ndio iliathiriwa na katiba mbovu?
 

WACHA WOGA
 
"Mnisikilize" kwani unamaanisha wewe na nani?

Mbona ni kitabia fulani cha ujuha uliopitiliza kujipa dhamana ya watu ambao hawajakutuma kuwasemea?

Hiiiiii bagosha!
Hahaha ndio ujanja wenyewe huo ulionao, halaf unataka tukusikilize a kweli bagosha...
 
Mkuu mbona unaongea point nyepesi sana katika maswali magumu!?
Kwenye suala la kukamata dola kuna mambo makubwa mawili ambayo kwa sasa naweza kusema ndio mbeleko ya ccm, nayo ni:-
1.Katiba mpya
2.Tume Huru ya uchaguzi
Naposema katiba mpya namaanisha katiba inayoakisi matakwa ya sasa ya mfumo wetu wa kisiasa, kiuchumi na kitamaduni pamoja matarajio ya dunia ya sasa.
Msingi mzuri wa katiba hii ndio utakaozaa tume huru ya uchaguzi, kwa maana ya tume huru kwa uhuru kwelikweli sio uhuru wa jina.
Tume huru itaodoa mianya yote ya udanganyifu huku katiba ikipiga marufuku kabisa mwanasiasa kupenyeza maelekezo yake na kuathiri maamuzi ya tume. Hapo CHADEMA watashindwa wapi!
 
Hahaha ndio ujanja wenyewe huo ulionao, halaf unataka tukusikilize a kweli bagosha...

Ujanja upi unaoungelea wewe?

Kwanini unadhani mambo nyeti na muhimu kwa nchi yanahitaji ujanja ujanja?

Kwani katiba mpya inawakwaza kitu gani nyie hasa kama kweli mko na nia njema?
 
Ahaaa, upo sawa, lakini mtazamo wa chama cha siasa chochote ni kukamata dola, Chadema wanajidanganya kuwa huwa wanashindwa uchaguzi sababu ya katiba iliyopo. Hapo nafikiri umenisoma.
Ebu nenda kawinde ndege shorwe wewe mwanakijiji
 
Yaan ww 🀣🀣kwanza unaiaibisha CCM kbs, eti hawawez shika dola hata ikipatikana katiba mpya πŸ˜‚πŸ˜‚. Nan alikwambia katiba mpya ni kwaajil ya chadema?? Halafu huu ujinga ujinga wa kuijadili chadema kila mara inaonyesha wazi kbs chadema ina nguvu kubwa sana. Tofaut mnavyowaaminisha raia eti imekufa 🀣🀣
 
Naona uko mapumziko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…