Kabla ya References...... Nilisema hilo swali nililiweka ili kufahamu mtu ninayeelimika naye....Sitakucheka japo nilipaswa kufanya hivyo....HUJUI History Na Archaeology vinginevyo usingekuja kichwakichwa hivi.....
History imejikita kwenye Written documents sana Oral tradition (haiaminiki inachange sana) Sasa discovery ya Writings ndo mwanzo wa History beyond Hapo hiyo ni archaeology na ni independent Academic discpline.
Back to your question Ili kujua kilichotokea mwaka fulani kihistoria utahitaji Oral tradition na Written documents ku support....Haya sasa Hao wakaazi wa miaka hiyo walikua na written docs jibu hawakua nayo so tufanyaje sasa?
Tunageukia archaeology ambapo tutadig na excavate ili kupata kitu cha kusupport orar histories
Now
Between 2500 and 3000 years ago, Bantu-speaking peoples began a millennia-long series of migrations eastward from their homeland around southern Cameroon.
Hii itasupportiwa na archeological interpretation of artifacts.
Finally tutatazama theory evolution of Man..Where According to both genetic and fossil evidence, it has been posited that
archaic Homo sapiens evolved into
anatomically modern humans in the Horn of Africa around 200,000 years ago and dispersed from there.
[29][30] The recognition of
Homo sapien idaltu and Omo Kibish as anatomically modern humans would justify the description of contemporary humans with the subspecies name
Homo sapiens sapiens
NB: Sasa uwe Mwelewa Haya mambo yape muda Yasome deep ili next time iwe rahisi kuchuja vitu