Mimi sijamsikia akizungumza chochote kuhusu Bandari kama kuna mwenye clip yake akizungumzia suala la Bandari aiweke hapa tuelimike sote
 
🤣🤣🤣🤣aisee sina hamu na hilo jibu🤣🤣
 
Unanyanyua mkia wa mbwa alafu unauliza mku"#_#du wake uko wapi!!??
 
Ukiona Mtu Yupo Kimya kwa hoja za Kwenye Mkataba, Lkn anaongelea vitu vingine ujue huyo anaunga mkono....

Kwenye Kundi hili wapo...
Jk
Zito
Jenerali Ulimwengu
N.k

Hawa sijawasikia na ukiwasikia basi wanajikita kwenye kukemea udini, matamshi yenye hisia au jazba n.k...

Vifungu kandamizi Kwenye Mkataba wananyuti kimya
 
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete mbali na kukemea kuchanganya dini na siasa vipi Je kuhusu hoja ya mkataba wa Bandari yeye yuko upande gani? anaunga mkono mkataba au anapinga mkataba na nini ushauri wake kama Mstaafu kuhusu suala la Mkataba wa Bandari.
Tamko lilimtoa pangoni atakuwa anaunga mkono mkataba
 
Makamu wa Rais Philip Isdoli Mpango hajagusa kabisaaaaaa,anajibaraguza na madawati ya shule.
 
Wakuu upi msimamo wa hili gwiji la siasa za maridhiano nchini?

Huyu ni moja ya magwiji ambao akiongea neno moja tu upepo unaweza badilika.

Mzee Mwinyi kwa sababu ya umri yeye tumuacje kidogo.
Anaunga ndio maana baada ya waraka akatoka uvunguni
 
Kesi ya nyani hakimu awe ngedere we ulisikia wapi,,
 
Tuendeleeni kulipa kodi tu wazee,haya mengine tuwaachie wenye nchi,tushapigwa kanzu tangu siku nyingi sana na hiyo rimoti ya msoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…