Msimamo wa Mzee Kikwete kuhusu DP World ni upi?
Kikwete imepita na akishawai kutaka wachina waje ila kinana ana bandari zake kavu hawezi jla hana budi.

Kiufupi bandari ishaenda,
 

 
Wanaojua msimamo wa jk na kinana kwenye hill bandari ni ki


Kinana mkuu wa kuuza Twiga, tembo, Simba, zebra , akisaidiwa kuwezeshwa na kikwete? Kuna mali za nchi ziliuzwa wakati wa Kikwete. Jiongeze kuhusu maoni yao.
 
Msimamo wa Samia ndio wa JK na Kinana

Upumbavu wa selikali zao unalingana
 
Kuna thread yangu umefutwa sasa hivi...nimeuliza kitu..kama hiki
Sa nyie mnauliza majibu badala ya maswali thread itaacha kufutwa, sawa na kuuliza kama kuna wajawazito kwenye word ya wazazi!
JK na Kinana ndo madalali wa dii pii weld, umesahau Jk ndo mwenye rimoti?!.
 
Sa nyie mnauliza majibu badala ya maswali thread itaacha kufutwa, sawa na kuuliza kama kuna wajawazito kwenye word ya wazazi!
JK na Kinana ndo madalali wa dii pii weld, umesahau Jk ndo mwenye rimoti?!.
Wala haiko hivyo..
JK na Samia wamegombana..
Hatujui sababu..
 
Wala haiko hivyo..
JK na Samia wamegombana..
Hatujui sababu..
......
Screenshot_20230715-113753.jpg
 
Wakuu upi msimamo wa hili gwiji la siasa za maridhiano nchini?

Huyu ni moja ya magwiji ambao akiongea neno moja tu upepo unaweza badilika.

Mzee Mwinyi kwa sababu ya umri yeye tumuacje kidogo.
Kama unamjua, wala huna haja ya kusikia neno lake.
 
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete mbali na kukemea kuchanganya dini na siasa vipi Je kuhusu hoja ya mkataba wa Bandari yeye yuko upande gani? anaunga mkono mkataba au anapinga mkataba na nini ushauri wake kama Mstaafu kuhusu suala la Mkataba wa Bandari.
 
Unamfahamu vizuri JK, au unamsikia? Kama humfahamu, basi fuatilia kwa umakini kauli aliyowahi kuiyoa wakati wa sakata la Escrow! Yaani wakati wananchi wanahoji iwapo hela za Escrow zilikuwa ni za serikali, au watu binafsi!!

Majibu yake ndiyo yatakupa picha halisi ya aina ya mtu unaye mfikiria.
 
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete mbali na kukemea kuchanganya dini na siasa vipi Je kuhusu hoja ya mkataba wa Bandari yeye yuko upande gani? anaunga mkono mkataba au anapinga mkataba na nini ushauri wake kama Mstaafu kuhusu suala la Mkataba wa Bandari.
Kikwete hau
 
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete mbali na kukemea kuchanganya dini na siasa vipi Je kuhusu hoja ya mkataba wa Bandari yeye yuko upande gani? anaunga mkono mkataba au anapinga mkataba na nini ushauri wake kama Mstaafu kuhusu suala la Mkataba wa Bandari.
Yaani unauliza kama kuku huwa anataga mayai!! Wenye akili zao watakuambia hatujui!!
 
Back
Top Bottom