DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Hatuwahitaji hata kwa maboresho ya mkataba maana tumeshajiridhisha kuwa ni majangili...na nia yao mbaya imeshajidhihirishaTunawahtaji DP World mkuu ila sio kwa mkataba ule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwahitaji hata kwa maboresho ya mkataba maana tumeshajiridhisha kuwa ni majangili...na nia yao mbaya imeshajidhihirishaTunawahtaji DP World mkuu ila sio kwa mkataba ule.
Punguza kuvuta bangi kenge weChangia Uzi wa hapo juu, mkapa ukapa.
Changia Uzi wa hapo na punguza shobo za mihemko mshindo popoma wewe, mkapa kaingiaje na shobo na wewe kwani.?Punguza kuvuta bangi kenge we
Saa100 allikua na uwezo wa kukataa maana mwisho wa siku yeye ndo aliyeshika mpini wa kisu.Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.
Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?
Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]una laaaaaaana we si bure msikiti tena ooohhhh tate naneeeeeeeeTumekubaliana nitawajengea miskiti.
Naam, nitaijenga kila kona[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]una laaaaaaana we si bure msikiti tena ooohhhh tate naneeeeeeee
Mmh!!
Kikiwaka atawakimbia wajukuu. Ni vema kulinusuru taifa.Mwacheni Mstaafu alee Wajukuu!
Kama ni hivyo itakuwa vigumu sana kwake kusema chochoteAna clearing and forwarding agency hapo bandarini
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ahadi ya 35 iliyosemwa.Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Daah! AmeuaNdio dalali wa dii pii weld huyo