GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.
Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?
Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?
Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.