Msimamo wa Mzee Kikwete kuhusu DP World ni upi?
Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.

Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?

Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
Wewe pia zunguka zunguka useme,na uwe na kiswahili kingi,uone kama kuna atakuaye kusikiza.
 
Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.

Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?

Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
Da yaani wewe poti uwa nakukubali, kwanza naye kapigwa na kitu kizito sababu bandari yetu pendwa hajuhi kama itajengwa
 
Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.

Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?

Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
Kwa mkataba huu huu bila mabadiliko umeridhika?
 
Www popoma lini utaacha upuambavu alfu ndio wee unakuwa think tank la watu wa musoma ,Mara kwa akili hz

SAS kikwete bandari inamuhisu nn mtu kashamaliza Muda wake unategemea aongee ishu ya bandari ili imsaidiee
 
Www popoma lini utaacha upuambavu alfu ndio wee unakuwa think tank la watu wa musoma ,Mara kwa akili hz

SAS kikwete bandari inamuhisu nn mtu kashamaliza Muda wake unategemea aongee ishu ya bandari ili imsaidiee
Wewe Upumbavu na Utaahira umeuacha lini?
 
Kwa hiyo alivyostaafu na u Tanzania wake uliisha? au wajibu wake kwa Taifa Kama raia uliisha?. Basi Kama ni hivyo ahamia hata Burundi huko atuachie nchi yetu .
 
Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.

Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?

Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
huyo mzee ndio saratani inayotafuna taifa, mpaka akidondoka ndio nchi itapumua.
Mwinyi alipokua anakosea Nyerere alisimama na kukanya,
alipokosea kikwete Mkapa alikosoa vile vile.
Hata Magufuli alipokosea Mkapa alikosoa pia.
Huyu kikwete sijui faida yake ninini katika hili taifa
 
Hivi kwani Kikwete alikufir@mba au??mbona una ghadhabu nae sana??Nenda ustawi WA jamii or kwenye vyombo vya sheria ukashtaki sio kukaa dukuduku moyoni..maana Kila siku Kikwete hivi Mara Kikwete vile as if Umeachika huku ukiwa unampenda..
 
Back
Top Bottom