Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Umecheka vizuri, nitumie acc no yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Safi Sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umecheka vizuri, nitumie acc no yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Safi Sana!!
Punguza hasira, nitumie acc yako nikupe fedhaSamia Mzanzibar, Kikwete Mkongo wote hawana uchungu na Nchi hii that's why
Wewe pia zunguka zunguka useme,na uwe na kiswahili kingi,uone kama kuna atakuaye kusikiza.Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.
Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?
Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
Aahahaaa,sawa mkuuMarhabaaa, marhabaaa, wewe inaonesha ni muungwana, nitumie account no yako nikutumie kifuta jasho hata milioni 100 ukanywe soda.
Da yaani wewe poti uwa nakukubali, kwanza naye kapigwa na kitu kizito sababu bandari yetu pendwa hajuhi kama itajengwaHakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.
Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?
Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
Kwa mkataba huu huu bila mabadiliko umeridhika?Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.
Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?
Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
CRDB wanasema account zao zinaanza na 0 sio 00, au nenda msoga ukachukue mgao wako.Aahahaaa,sawa mkuu
Hii hapa mkuu:
001J345679999 CRDB
Swali Bora kabisa hiliHivi watu kama nyie uwa mnajihudumia mahitaji yenu au mnaletewa?
AaahaaaaaCRDB wanasema account zao zinaanza na 0 sio 00, au nenda msoga ukachukue mgao wako.
Mkapa kaingiaje?Hacheni kumpopoa hayamuhusu ya bandari msimtupie zigo, mkapa alizuiliwa na Nani enzi zake.
Wewe Upumbavu na Utaahira umeuacha lini?Www popoma lini utaacha upuambavu alfu ndio wee unakuwa think tank la watu wa musoma ,Mara kwa akili hz
SAS kikwete bandari inamuhisu nn mtu kashamaliza Muda wake unategemea aongee ishu ya bandari ili imsaidiee
huyo mzee ndio saratani inayotafuna taifa, mpaka akidondoka ndio nchi itapumua.Hakuna Kitu GENTAMIYCINE nachukia kama Mtu kuwa Mnafiki na kutokuwa na Msimamo au Maamuzi ya mwisho.
Kama GENTAMIYCINE nimesema na kuchukua upande wa kutaka Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu uje na Ukubalike Tanzania kwanini Wewe ( Rais Mstaafu Kikwete ) kila ukihojiwa kwa Kutegwa Maswali na Waandishi wa Habari Kisaikolojia na hata kwa 'Body Language' yako tu unaonyesha nawe unawataka DP World ila ukijibu Unazungukazunguka na kuwa na Siasa nyingi na Kiswahili kingi?
Ndiyo maana sikuwahi Kukukubali na huwa nawashangaa mno Watanzania ambao kwa Akili zao fupi huwa wanakusifia na kusema ulikuwa Bonge la Rais wakati si kweli.
Changia Uzi wa hapo juu, mkapa ukapa.Mkapa kaingiaje?