Msimamo wa Mzee Kikwete kuhusu DP World ni upi?
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Yuko kwa waadzabe anawapa habari njema za DP world, endelea kusubir atakufikia na ww mkuu
 
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
👇👇
 

Attachments

  • FB_IMG_1688651214549.jpg
    FB_IMG_1688651214549.jpg
    57.8 KB · Views: 2
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
😄 😄 😄 😄 msoga😄😄yupoo
 
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Aseme nini? Mkataba ule unaweza kusainiwa na taahira pekee
 
Fisadi Kikwete lazima atakuwa kwenye wale wamiliki wa 35%
Kumbukeni alivyotupiga kwenye gesi.
 
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Hakuna wizi na scandali kubwa hapa nchini ambazo hilo jizi halijashiriki,
Huyo ndio mwizi mkubwa aliyebaki,
Ingekuwa wa TZ wamefungua kesi,huyo angekuwa shahidi muhimu sana,
Maana ndio kubwa la majambazi kwa sasa
 
Hakuna wizi na scandali kubwa hapa nchini ambazo hilo jizi halijashiriki,
Huyo ndio mwizi mkubwa aliyebaki,
Ingekuwa wa TZ wamefungua kesi,huyo angekuwa shahidi muhimu sana,
Maana ndio kubwa la majambazi kwa sasa
Ukiendelea kuwa bwege kama hivyo basi atakuibia na atakufanyia ujambazi hadi kwa mkeo, lafa wewe!!
 
Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Mwisho wa kunukuu....😊
 
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
1689391817315.png
 
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Upo forodhani unauliza baharini wapi? Wewe kweli ndiyo walewale.

1689392003391.png
 
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.

Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.

2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.

Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.

Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Huyo hasemi kitu, sana sana tutegemee kitu![emoji41] Akili zake anazijua mwenyewe
FB_IMG_16882414072879222.jpg
 
Kuna thread yangu umefutwa sasa hivi...nimeuliza kitu..kama hiki
 
Back
Top Bottom