johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siasa ni dynamic bwashee!Ila wee jamaa ni mnafiki kupindukia!! Yaan humu hua unasoma upepo unaendaje, utaingia kweny utawala huu utang'ata na kupuliza then ukirud kweny genge lako la walinda legacy unang'ata na kupuliza!!!
Nani huyo Engineer? Ambaye kashakufa na Dunia haijui?Ccm wanalindana....
Engineer wa ufisadi kashakufa na tunataka dunia ijue hivyo
Sasa mbona mnahangaika? Mna hofu gani?Mwizi mkuu kasha kufa
Aliacha masalia hukuSasa mbona mnahangaika? Mna hofu gani?
Ile 1.5T aliyoisema CAG Asadi mliwahi kuonyesha mmeitumia wapi? Au mnajisahaulisha tu.Mbona mnakuwa kama watoto wadogo?
Mmesahau namna sakata la Escrow lilivyowekwa wazi? Tuliambiwa pesa namna zilivyo kwapuliwa na hata zilikofichwa. Vivyohivyo hata sakata la Kagoda na Epa.
Mnadai kuna ufisadi mkubwa ulitokea awamu ya tano. Tuambieni namna pesa zilivyokwapuliwa , nani alikwapua na sasa amezificha wapi. Serikali izirudishe.
Kama hakuwafanya kitu,waliotumwa wakamatwe wapelekwe mahakamaniRais aliamua Tanroad ndio waagize mtambo wa kiwanda cha kuzalisha sukari akawapa bil 50, na hawakuleta na hakuwafanya kitu.
Wanaoisingizia awamu ya tano sio chadema peke yao Bali wenyewe kwa wenyewe mpo wengi sana team awamu mpya !Hata Lowassa walimsingizia hivyo hivyo.
Chadema wana upuuzi mwingi!
Bishana na SIEIJIMbona mnakuwa kama watoto wadogo?
Mmesahau namna sakata la Escrow lilivyowekwa wazi? Tuliambiwa pesa namna zilivyo kwapuliwa na hata zilikofichwa. Vivyohivyo hata sakata la Kagoda na Epa.
Mnadai kuna ufisadi mkubwa ulitokea awamu ya tano. Tuambieni namna pesa zilivyokwapuliwa , nani alikwapua na sasa amezificha wapi. Serikali izirudishe.
Report ya CAG iko wazi na wahusika walishindwa kueleza hizo fedha ziko wapi. Sasa ushahidi gani unataka zaidi ya wahusika kufikishwa mbele ya sheria?Tuwekee ushahidi hizo bil 50 zilivyotafunwa. Nani alitafuna?
Kwani jamii forum ni mahakama ya kifisadi mpaka mlete malalamiko yenu ya ufisadi shetwaani weeeee.Tukupe ushahidi wewe kwani wewe ni DPP?
Huna jipyaTulieni Chato gang, sindano zaidi zinakuja!
Sasa mbona unaenda nje ya mada?Ile 1.5T aliyoisema CAG Asadi mliwahi kuonyesha mmeitumia wapi? Au mnajisahaulisha tu.
Hataungekuwa wewe ungemuexposetu, mijitu iliyo mzunguka anaanzaje kujiongoza.Utapata tabu sana kumtetea marehemu
Hata makamu wake anamuexpose
kasome report ya CAG mburula wewe!Tuwekee ushahidi hizo bil 50 zilivyotafunwa. Nani alitafuna?
Maggufuli alikuwa mpigaji,ushaidi uliopo Ni wa nyaraka,pakua mtandaoni usome report ya CAG, ambao ndio ushaidi official,Jiwe ndio nani? Kama kweli jibu lako liwe na mshiko, kwanini usitaje jina? Ameficha wapi? una Taarifa zingine mbadala na za Mkaguzi mkuu?
Umesikia wapi hayo uliyoyabandika?
Ndio imesemaje we maji ya k..kasome report ya CAG mburula wewe!
Umepanic dogoKwani jamii forum ni mahakama ya kifisadi mpaka mlete malalamiko yenu ya ufisadi shetwaani weeeee.
We maji ya k...tuliaUmepanic dogo
Inaonekana wewe mwenyewe huelewi ulichoandika. Kachukue akili ulizoacha chato usome upya ulichoandika.Sasa mbona unaenda nje ya mada?
Kwani hauna ushahidi benki gani zimefichwa pesa?Inaonekana wewe mwenyewe huelewi ulichoandika. Kachukue akili ulizoacha chato usome upya ulichoandika.