Mstaafu Jakaya Kikwete anakerwa na nini?

Ndio siasa Mkuu na ulaji wa asali ulivyo.
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."
Sasa wewe ukianza kuweka tafsiri zako kwa kila linalosemwa inamaanisha nini?
 
Waswahilina hawajawahi kuwa na akili kubwa na ndo wamejazana huko fisiemu kwa sababu wamebobea kwenye ndumba, fitina na majungu, kwa hiyo hakuna la kushangaza hapa tuache muda uamaue ya mbeleni.....
Eh kijana kwa kweli uwe na adabu usitutukane wakati wewe unakuja mjini hata kutawadha tu ulikuwa hujui
 
Mtoa mada ameandika maneno mengi ila kuna kitu hajaelewa.
Lengo la JK sio kumponda Suluhu ila lengo la JK ni kumfagilia Suluhu aendelee kwa sababu wanammudu.
Wanahofia akiingia mtu mpya mfumo unaweza ukabadilika yakaja kama ya Marehemu Magu.
Kwani RA yuko wapi?
 
RC wa bukoba anahusikaje mkuu hapa sijaelewa
 
Magu alikuwa ni kichwa sana maana alishajua kwamba hii nchi bila ubabe haiwezi kutawalika wala kubadilika
 
Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."
Kaulii ya mambo kuharibika sana imekaa kimajungu na kichochezi. Kwanini aweke kichwani kwake mambo kuharibika sana?. Kwanini awe na mawazo hasi kichwani haswa anapomuongelea rais wa nchi?.

JK na kundi lake hawana nia safi na rais SSH na kibaya zaidi hakuna sauti nyingine yenye hekima inayokuwa juu yake ndani ya CCM kwa sasa.
 
Pascal tusaidie kujibu swali hili na mie niongeze swali je vijana wake ndio wale wa kimchongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…