Ndugu yangu ana tatizo la watoto kufia tumboni kabla ya kuzaliwa...mimba ikifika miezi tisa unakuta mtoto ameshafariki.. je tatizo hilo afanyeje?? Je anaweza kuzalishwa mapema kabla ya mimba haijafika miezi tisa?? .. Imeshatokea mara mbili... Pia akiwa mjamzito anakosa hamu ya kula..huwa anakula kidogo sana kwa muda wote wa ujauzito..
Ndugu yangu ana tatizo la watoto kufia tumboni kabla ya kuzaliwa...mimba ikifika miezi tisa unakuta mtoto ameshafariki.. je tatizo hilo afanyeje?? Je anaweza kuzalishwa mapema kabla ya mimba haijafika miezi tisa?? .. Imeshatokea mara mbili... Pia akiwa mjamzito anakosa hamu ya kula..huwa anakula kidogo sana kwa muda wote wa ujauzito..
Pima na TuberculosisNdiyo, ni juzi tu tarehe 2/7 nikapewa artequine. Leo namalizia dozi. DALILI: Mwili kuchoka, miguu (kwenye nyayo) na kifua kuwaka moto.
Hakuna kichwa kuuma, wala baridi wala joto kupanda. Magonjwa mengine kama typhoid huwa natibiwa kama kawaida na kupona hata miaka. UTI, naitibu kwa kunywa maji mengi
Kutokana na miguu na kifua kuwaka moto, nimewahi kufanyiwa kipimo cha endoscopy Bugando nikakutwa na GERD (kuna sehemu umeeleza kama aina mojawapo ya vidonda vya tumbo), nikatibiwa na kwa kiasi kikubwa nimpata nafuu. Miguu na kifua inawaka moto pale tu ninapokuwa na malaria
Karibu
Ni wiki sasa,naskia kelele kwenye sikio la upande wa kulia tatizo linazidi sana muda wa usiku..lakini haliumi.
Kuna kipindi nikiwa mdogo nilikuwa na matatizo ya maskio tena yalikuwa yanauma sana,mara ya mwisho ilikuwa 2003 baada ya kuanza kuona hali ya kuwa kama kuna kitu kinatembea maskion mwangu nmeanza kuhisi kama tatzo linataka kurudi tena.Asante.Kama unapoamka asubuhi masikio yanakuwa yametulia, basi unapata exposure kwenye kelele zaidi ya kiwango kinachoruhusiwa kwa siku (dBA 85)
Kama ni hivyo unahitaji kulinda masikio yako. Kuna maduka wanauza kinga za masikio kwa bei rahisi tu, japo ni haki yako kulindwa na mwajiri wako.
Kuna kipindi nikiwa mdogo nilikuwa na matatizo ya maskio tena yalikuwa yanauma sana,mara ya mwisho ilikuwa 2003 baada ya kuanza kuona hali ya kuwa kama kuna kitu kinatembea maskion mwangu nmeanza kuhisi kama tatzo linataka kurudi tena.Asante.
Asante mkuuUngeweza kwenda kwa ent kwa uchunguzi zaidi.
Pole Sana
Dr nakuja pm