FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Slaa alipewa za uso akaufyata.Ni Dr Slaa tu anayemmudu RA hapa Bongo 😂😂🔥🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slaa alipewa za uso akaufyata.Ni Dr Slaa tu anayemmudu RA hapa Bongo 😂😂🔥🐼
Hakika... Yale mafedha yamebadilisha maisha ya wenzetu, mitaa inawaheshimu!Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
🤣🤣🤣Tena mtaji mkubwa sana ule, unafikiri utakuwa na vitalu vya kuwindia bila silaha?
NimekumanyaMkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Tena wala halikuwa hana kosa lolote, mwendazake alikuwa anajimwambafai kijinga tu.🤣🤣🤣
Tatizo mahakama zetu wakamlipisha faini loh😆
Aina ya matumizi haibadilishi msingi wa jinsi ulivyoipata hela.Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Leo unayasema hayo?Tena wala halikuwa hana kosa lolote, mwendazake alikuwa anajimwambafai kijinga tu.
Alimuita RA ni " punje"Slaa alipewa za uso akaufyata.
Uchagga wake umeingiaje hapo?Ulitaka waende na wewe? Una biashara ipi mchaga wewe, zaidi ya kuuza pombe?
Mlifikiri mama kaneda kutembea huko. Lazima aende na kichwa cha biashara.
Ulitaka waende na wewe? Una biashara ipi mchaga wewe, zaidi ya kuuza pombe?
Mwizi ni mwizi tuu na hawezi kupewa heshima yoyote na mtu yeyote mwenye akili timamu, ziara zenyewe za ujombani kwake ndio zinatuletea vitu vya ajabu kama "Dipii Weldi" upuuzi mtupu, alafu akadanganya kwamba wakenya wanataka huo mkataba Ruto kamuumbua juzi tuu hapo, hata ukisifia kwa kiwango gani hulambi teuzi ng'ooMkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Huyu jamaa Huwa namfananisha na nyoka mwenye ndimi 2.Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Kichwa cha WIZI. Tujipange kupigwa Tena.Mlifikiri mama kaneda kutembea huko. Lazima aende na kichwa cha biashara.
Una matatizo wewe, si bure.Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
It was a stupid comment bibiMkikosa hoja ndiyo zenu hizo.
Ulitaka uchukuliwe wewe ukaongee biashara za Kimataifa?
Ukashifu wewe unirushie mimi?It was a stupid comment bibi
Pokea tu ushauri
Hukuhitaji kukqshifu mtu
Kwani kaka Pascal Mayalla royo Tua ina faida gani mpaka iitaji ufadhili wa Pesa nyingii...Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P