Mtaalamu wa mipango na mikakati aonekana Doha kwenye ziara ya Rais Samia

Mtaalamu wa mipango na mikakati aonekana Doha kwenye ziara ya Rais Samia

Yule dalali ameajiriwa Lini huko magogoni?Yuko Doha na Saa100.
 

Attachments

  • 58A3E2ED-51ED-4515-98BA-F9CD7A7247D3.jpeg
    58A3E2ED-51ED-4515-98BA-F9CD7A7247D3.jpeg
    66.4 KB · Views: 2
RA Yupo Doha Anazichanga Vema Karata Zake Kampuni Zake Zinachanua Tu
Mambo Ya Caspian
 
Hiyo ndo mwenye Di pi wedi kama hujibu. Hao unao wajua ni dagaa Tu. Mapapa yapo
 
Akimbie camera?huoni Kuna Tycoon mwenzake anazungumza nae hapo??

Hovyo kabisa,akimbie camera kwani unadhani watu wameenda huko kupiga picha wakutumie uweke JF??
Hawa watu wana maradhi katika nyoyo zao. Hata uwafanye nini hawabadiliki.
 
Back
Top Bottom