Photoshop acheni ufala.
Haya njoo na hoja nyingine na matusi mengine pia!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Photoshop acheni ufala.
Ukweli usemwe bwana, ROSTAM AZIZ anatupiga vilivyo kwa ujinga wetu.Whether ni Rostam au siyo Rostam sioni kwa nini tujadili hoja kama hii. Kimsingi mtoa mada ni kiwakilishi cha Watanzania wengi wenye wivu wa mafanikio. Watu wanawachukia matajiri as if wale matajiri waliwanyang'anya mali zao.
Kwa taarifa yako mshana5 ma Rais wote duniani husafiri na wafanya biashara mashuhuri ili kuangalia fursa kati nchi na nchi.
Mama yake Yuko anajizeekea hapo IgungaMwisi Igunga[emoji4][emoji4]
Kwhy hiyo ndio succession plans za Taifa?? Rais wa kumi sijui atajuta nini Cha kugawa kwenye hili taifa.Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Hivi huwa hawaoni juhudi hizi au ndio jua limezama? badilisha uelekeoMkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Wanapofadhili wao tunajua wanakua wamenufaikaje?!! Mtasema wanatoa hela bure tu?!!Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Akimbie camera?huoni Kuna Tycoon mwenzake anazungumza nae hapo??Kulikuwa na haja gani Rostom Aziz kuikimbia Camera? View attachment 2771295
hivi we jamaa una matatizo gani?Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Watanzania mchangamkie fulsa za mbogamboga na matunda.
View: https://twitter.com/DIONIZKIPANYA25/status/1709048646375805055?t=HyUFD88LmFNZDr0eAmNBSQ&s=19
"kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW", Paskal acha kuwachokoza watu shauri yako wakianza kukutupia madongo.Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Alivyomkaribisha tu hakuchukua round akapigwa TKOShujaa Magufuli: Rostam Aziz gombea Ubunge Morogoro Mjini 😂😂🔥
Mayala ndugu yangu usipate taabu kushindana na wajinga, hata umweleze nn hataki kuelewa kwa sababu tu hataki, anafahamu profile ya Rostam Aziz? au kwa kuwa anaona anatoka Tanzania basi anaona wanalingana! hili ndio tatizo kubwa linalokabili watanzania, halafu ukute huyu ndio wale vijana taifa linawategemea kuleta mageuzi, tuna safari ndefu, wakati wenzetu wanahangaika kuchangamkia fursa za kibiashara yeye anahangaika kutafuta matusi ya kutukana watu!Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Watanzania mchangamkie fulsa za mbogamboga na matunda.
View: https://twitter.com/DIONIZKIPANYA25/status/1709048646375805055?t=HyUFD88LmFNZDr0eAmNBSQ&s=19
Usituaminishe kuwa wewe ndiye umemuelewa Mayala zaidi!Mayala ndugu yangu usipate taabu kushindana na wajinga, hata umweleze nn hataki kuelewa kwa sababu tu hataki, anafahamu profile ya Rostam Aziz? au kwa kuwa anaona anatoka Tanzania basi anaona wanalingana! hili ndio tatizo kubwa linalokabili watanzania, halafu ukute huyu ndio wale vijana taifa linawategemea kuleta mageuzi, tuna safari ndefu, wakati wenzetu wanahangaika kuchangamkia fursa za kibiashara yeye anahangaika kutafuta matusi ya kutukana watu!
Tatizo Sa100 ni dhaifu sana haaminiki, wahuni hawa watamuingiza chaka.Mimi wanachonishangaza wakati JPM yuko karibu na Rostam enzi za uhai wake Wala hawakuwa na hizo kelele,Leo dhambi ni nini Samia akionekana kuwa karibu na mfanya biashara huyo?
Wewe ndiyo mjinga jisemee kivyako, mimi na wengine wote siyo wajinga. Ni hoja za kidwanzi kusema anakupiga wakati hauna unachofanya kwenye hizi fursa kibao zinazopatikana nchini. Endelea kulalamika JFUkweli usemwe bwana, ROSTAM AZIZ anatupiga vilivyo kwa ujinga wetu.