Mtaalamu wa mipango na mikakati aonekana Doha kwenye ziara ya Rais Samia

Mtaalamu wa mipango na mikakati aonekana Doha kwenye ziara ya Rais Samia

Photoshop acheni ufala.
Screenshot_20231004-103845.png

Haya njoo na hoja nyingine na matusi mengine pia!!
 
Whether ni Rostam au siyo Rostam sioni kwa nini tujadili hoja kama hii. Kimsingi mtoa mada ni kiwakilishi cha Watanzania wengi wenye wivu wa mafanikio. Watu wanawachukia matajiri as if wale matajiri waliwanyang'anya mali zao.

Kwa taarifa yako mshana5 ma Rais wote duniani husafiri na wafanya biashara mashuhuri ili kuangalia fursa kati nchi na nchi.
Ukweli usemwe bwana, ROSTAM AZIZ anatupiga vilivyo kwa ujinga wetu.
 
Natamani nikuone na wewe unafunga biashara hata ya mihogo kwenda China
Ila kwa jicho la hasidi tunaongoza
 
Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Kwhy hiyo ndio succession plans za Taifa?? Rais wa kumi sijui atajuta nini Cha kugawa kwenye hili taifa.
 
Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Hivi huwa hawaoni juhudi hizi au ndio jua limezama? badilisha uelekeo
 
Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Wanapofadhili wao tunajua wanakua wamenufaikaje?!! Mtasema wanatoa hela bure tu?!!

Mungu alietufadhili utu na pumzi nae anatudai tumtumikie mwisho wa siku na tusiomtumikia vizuri atatuchoma Moto,je wao?!!
 
Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
hivi we jamaa una matatizo gani?
 
Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
"kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW", Paskal acha kuwachokoza watu shauri yako wakianza kukutupia madongo.
 
Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Mayala ndugu yangu usipate taabu kushindana na wajinga, hata umweleze nn hataki kuelewa kwa sababu tu hataki, anafahamu profile ya Rostam Aziz? au kwa kuwa anaona anatoka Tanzania basi anaona wanalingana! hili ndio tatizo kubwa linalokabili watanzania, halafu ukute huyu ndio wale vijana taifa linawategemea kuleta mageuzi, tuna safari ndefu, wakati wenzetu wanahangaika kuchangamkia fursa za kibiashara yeye anahangaika kutafuta matusi ya kutukana watu!
 
Mayala ndugu yangu usipate taabu kushindana na wajinga, hata umweleze nn hataki kuelewa kwa sababu tu hataki, anafahamu profile ya Rostam Aziz? au kwa kuwa anaona anatoka Tanzania basi anaona wanalingana! hili ndio tatizo kubwa linalokabili watanzania, halafu ukute huyu ndio wale vijana taifa linawategemea kuleta mageuzi, tuna safari ndefu, wakati wenzetu wanahangaika kuchangamkia fursa za kibiashara yeye anahangaika kutafuta matusi ya kutukana watu!
Usituaminishe kuwa wewe ndiye umemuelewa Mayala zaidi!
 
Mimi wanachonishangaza wakati JPM yuko karibu na Rostam enzi za uhai wake Wala hawakuwa na hizo kelele,Leo dhambi ni nini Samia akionekana kuwa karibu na mfanya biashara huyo?
Tatizo Sa100 ni dhaifu sana haaminiki, wahuni hawa watamuingiza chaka.
Angalau JPM walikuwa wanamgwaya kwa ubabe wake.
Umeona tofauti Sheakh?.
 
Hatimaye Ikulu yetu imegeuka kuwa pango la walanguzi!
Kumbe ndio maana Sa100 alituahidi wananchi angetutajia majina ya aliowaita wafadhili wa Roho Tour ila mpaka sasa kashikwa na kigugumizi hajawataja na sababu zinaanza kujionesha zenyewe!!.
 
Ukweli usemwe bwana, ROSTAM AZIZ anatupiga vilivyo kwa ujinga wetu.
Wewe ndiyo mjinga jisemee kivyako, mimi na wengine wote siyo wajinga. Ni hoja za kidwanzi kusema anakupiga wakati hauna unachofanya kwenye hizi fursa kibao zinazopatikana nchini. Endelea kulalamika JF
 
Back
Top Bottom