Kuna mwamba yupo anahangaika na rufaa Kwa issue kama yako😊😊
Mfano Mimi nimnunulie mtoto pipi alafu iweje nionekane / niingie matatizoni.
Mfano ninapo kaa mtaani watoto wengi nimewazoesha watoto kuwa nunulia u fresh kiroho safi TU.
Hatajana watoto 20 wa MAJIRANI nimefika home mida ya saa mbili kasorobo usiku wakaja kunipokea kwa kuni wao.
Nikawapa pesa wakaenda kununua u fresh kiroho safi.
Mimi ni mtu wa maadili Sana na itokee mtu akuletee / issue Kama ya Manfred itashangaza sanaaa.
Masikitiko Basi nimeacha kuanzia muda huu kununulia watoto hapo mtaani.Kuna mwamba yupo anahangaika na rufaa Kwa issue kama yako
Unamuwinda ili iwaje? Then nini kinafuata baada ya kuambiwa unamuwinda?Kuna mfumo mzazi anamtuma mtoto wake aje kwako umnunulie pipi na ukishamnunulia anakuja kukuambia kuwa unamuwinda mtoto wake.
So kilichopo ndo hicho
Huko ni wapi na ilikuwaje?Kuna mwamba yupo anahangaika na rufaa Kwa issue kama yako
Hali ya maisha ni ngumu lakini hao hao ndio wanaisifia ccm!Ni hizi familiar za kimaskini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mwamba yupo anahangaika na rufaa Kwa issue kama yako
Nilikua nimeoa miezi michache tu sasa mama watoto alienda kujifungulia nyumbani kwetu, ikawa kuna kidemu kilinitesa kunipa tunda tangu kipo form one hadi form 4, sasa kilipoona nimeoa kikaungana na mamaake kunikomoa.Hahaha ulichomokaje hapo
Tunaishi na watu wenye roho mbaya imagine jamaa amepewa kesi ya kubaka katoto ka jirani tena kwenye mazingira ambayo watu hawakauki jamaa anarudi jioni Toka kazini anakutana na wazee wanamsubiri ndo maana sitaki mazoea yote hiyo walikuwa wanataka Hela jamaa akawa mbishiMasikitiko Basi nimeacha kuanzia muda huu kununulia watoto hapo mtaani.
Maana lisemwalo lipo Kama halipo laja.
Shukrani sanaa mkuu.
Kwa niniNa mnaopanga mag he to hakikisha mtu yeyote haingii kwako hata mwenye Nyumba
DoneSasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .
Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.
Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.
Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika
Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.
Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .
Jaribu kuwa smart and play smart.
Una bahati alikuwa na akili za kitoto ndio sababu alidanganyikaNilikua nimeoa miezi michache tu sasa mama watoto alienda kujifungulia nyumbani kwetu, ikawa kuna kidemu kilinitesa kunipa tunda tangu kipo form one hadi form 4, sasa kilipoona nimeoa kikaungana na mamaake kunikomoa.
Unaweza kushangaa kwanini alikua ni mwanafunzi huku akiwa anashirikiana na mamaake kumbe kipindi hicho walikuwa wakinichuna huku mamaake akiwa ndio anampanga.
Sasa nilipooa ilikua ni jambo lililowachukiza sana hivyo naona mamaake ndio alimpanga ajilengeshe mwenyewe alafu akatae kuondoka. Kikajilengesha na nilivyokuwa na hamu nacho, kilipokuja mchana mimi nikajifungia nacho hadi kesho yake asubuhi.
Asubuhi kikawa hakitaki neno lolote zaidi ya kwamba tumeoana. Nilikua mpole kikataka mayai nikaenda kuleta tukachemsha tukala, tukaendelea kuenjoy ilipofika alasiri nikakipanga kwakuwa hatukujiandaa kirudi kwao wala kisimdanganye mamake bali kimwambie nakioa, kikauliza vipi mke wangu niliyemuoa? Nikakiambia ameenda kujifungulia kwao hivyo sina mpango nae mke wangu atakua ni yeye.... Sound sound kikajaa nikakiambia twende nikuache nyumbani kwenu mimi nipande camp kuchek sababu nasikia madini yametoka.
Alivyokubali maelezo yangu tukatoka mimi nikatuma marafiki zangu wakaniletee vitu muhimu kule nikashuka navyo Arusha geto nikawaachia.
Juzi mwaka mpya kuna hotel nilienda nikamkuta yupo pale nikala kona nikapeleleza kwa dereva fulani akaniambia anajiuza telegram mikoa tofautitofauti.... Nilisikitika sana
Wewe unataka umkamue usiku kucha harafu makombo umwachie nani?Juzi kati kuna jamaa alimpeleka demu ghetto kwake so wakafanya yao kufika asubuhi jamaa anamwambia demu unaondoka saa ngapi? demu anamwambia niondoke niende wapi?
jamaa ndio ikawa kaoa hivyo bila ridhaa yake😃
🤣🤣Wewe unataka umkamue usiku kucha harafu makombo umwachie nani?
Safi aana wanawake wameamka
Braza ache starehe sio level yako unaforce king.Nilikua nimeoa miezi michache tu sasa mama watoto alienda kujifungulia nyumbani kwetu, ikawa kuna kidemu kilinitesa kunipa tunda tangu kipo form one hadi form 4, sasa kilipoona nimeoa kikaungana na mamaake kunikomoa.
Unaweza kushangaa kwanini alikua ni mwanafunzi huku akiwa anashirikiana na mamaake kumbe kipindi hicho walikuwa wakinichuna huku mamaake akiwa ndio anampanga.
Sasa nilipooa ilikua ni jambo lililowachukiza sana hivyo naona mamaake ndio alimpanga ajilengeshe mwenyewe alafu akatae kuondoka. Kikajilengesha na nilivyokuwa na hamu nacho, kilipokuja mchana mimi nikajifungia nacho hadi kesho yake asubuhi.
Asubuhi kikawa hakitaki neno lolote zaidi ya kwamba tumeoana. Nilikua mpole kikataka mayai nikaenda kuleta tukachemsha tukala, tukaendelea kuenjoy ilipofika alasiri nikakipanga kwakuwa hatukujiandaa kirudi kwao wala kisimdanganye mamake bali kimwambie nakioa, kikauliza vipi mke wangu niliyemuoa? Nikakiambia ameenda kujifungulia kwao hivyo sina mpango nae mke wangu atakua ni yeye.... Sound sound kikajaa nikakiambia twende nikuache nyumbani kwenu mimi nipande camp kuchek sababu nasikia madini yametoka.
Alivyokubali maelezo yangu tukatoka mimi nikatuma marafiki zangu wakaniletee vitu muhimu kule nikashuka navyo Arusha geto nikawaachia.
Juzi mwaka mpya kuna hotel nilienda nikamkuta yupo pale nikala kona nikapeleleza kwa dereva fulani akaniambia anajiuza telegram mikoa tofautitofauti.... Nilisikitika sana
Epuka kuwapa lift watoto waache watembee wenyewe mpka wanapoendaSasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .
Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.
Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.
Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika
Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.
Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .
Jaribu kuwa smart and play smart.
Alienda kujifungulia kwetu mimi nikamdanganya huyo mchepuko kaenda kujifungulia kwaoBraza ache starehe sio level yako unaforce king.
1. Mke akajifungulie kwao? Huna uwezo wa kutunza mke?
2. Demu una kaa naye 24hours unamlisha ugali na mayai🤣
3. Umeanza kuchunwa na kuhongwa tangu uko Form two
4. Demu yuko Telegram ya malaya wewe bado unaamini anatumwa na Mama yake🤣🤣🤣
Alikuwa jamaa ana mazoea na huyo mtoto ?.Tunaishi na watu wenye roho mbaya imagine jamaa amepewa keshi ya kubaka katoto ka jirani tena kwenye mazingira ambayo watu hawakauki jamaa anarudi jioni Toka kazini anakutana na wazee wanamsubiri ndo maana sitaki mazoea yote hiyo walikuwa wanataka Hela jamaa akawa mbishi
Tatizo unalosema ni kweli na alikuanza leo bali miaka kama 12 iliyo pita ...ila wanakusoma na saikolojia yako wakigundua upo thabiti wanakukimbia ...mimi binafsi niliwai kutengenezewa kesi ya hivyo ila walitawanyika wote walio jaribu kuniletea huo upumbavu ....awakujua kuwa mimi ndiyo the great genius of Allah time ....hii storyni yakweli kabisa.Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .
Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.
Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.
Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika
Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.
Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .
Jaribu kuwa smart and play smart.
,Tatizo unalosema ni kweli na alikuanza leo bali miaka kama 24 iliyo pita ...ila wanakusoma na saikolojia yako wakigundua upo thabiti wanakukimbia ...mimi binafsi niliwai kutengenezewa kesi ya hivyo ila walitawanyika wote walio jaribu kuniletea huo upumbavu ....awakujua kuwa mimi ndiyo the great genius of Allah time ....hii storyni yakweli kabisa