Malila vipi bonde la Kilombero............naona Serikali wamekuwa wakali kweli kweli..........mwendo ni mdundo.......i.e. Kilimo kwa kwenda mbele............
Yani hii thread ni RESPECT, nimekusanya mambo mengi tangia mjadala wake umeanza. Thanks kwa wote esp. Malila! Panapo majaliwa nitawapa feedback karibuni kuhusu mtaji wangu nimewekeza kwenye nini. Nipo kwenye mipango ya awali kabisa.
Mbu hatujakusikia kabisa..???
Nikwenda Kiroka Moro, ni kuzuri ajabu, tatizo vishamba ni vidogo kama taulo. Kilombero poa, ukienda Mbingu utashangaa kwa nini watu tunaminyana Manzese badala ya kulima huko. Tatizo linalolikabili bonde hilo kwa sasa ni wafugaji wa ng`ombe, hata Kilosa/Mvomero - Mabana kuna ugomvi na wafugaji. Ukiweza piga kwata hadi Chita, kuna mvua huko hadi raha.
Nimesikia juzi nikiwa Kiroka eti wana-plan kuwahamisha wafugaji Kilombero, yaani nchi hii vurugu tupu.
Yani hii thread ni RESPECT, nimekusanya mambo mengi tangia mjadala wake umeanza. Thanks kwa wote esp. Malila! Panapo majaliwa nitawapa feedback karibuni kuhusu mtaji wangu nimewekeza kwenye nini. Nipo kwenye mipango ya awali kabisa.
Mbu hatujakusikia kabisa..???
Itatia moyo sana.
Mimi nitawasilisha hivi punde mwanzo wangu wa mradi. Naamini tukitiana moyo tutafanikiwa wote kila mtu kwa kiwango chake.
Mkuu Malila unakumbuka zile ekari 60!............hivi sasa nimenunua trekta kwa ajili ya kuchapa kilimo sawa sawa.............aisee raha sana..............
mwaka jana....nimekodi shamba huko kibaigwa.......kuelekea maeneo ya karibu na kiteto..........ekari mia mbili sasa.....mwendo mdundo.....mahindi, alizeti nk.........
Feedback ni muhimu jamani.........
habari zenu wakuu, nafuatilia uzi huu kwa mda sasa, I am interested to know MBU aliishia wapi na 10m zake.
kwa kifupi mimi nimefaidika na mawazo ya humu, na hivi ninavyoongea nimeshaanza kuwekeza kwenye misitu huko Njombe.
Nawashukuru wote walichangia kwenye uzi huu.
Ningependa huu uzi uwe endelevu, in a way watu walio practice some of the ideas watupe updates
Mkuu uko Njombe upande upi? Na mimi nimefungua mashamba mengine kule Njombe njia ya Songea. Kuna jamaa anapanda matunda kama hana akili nzuri vile, nimempenda na anayauza Italy.
Kwa matatngazo zaidi inabidi upate ruksa ya wenye jamvi akina Invisible..lol
Nways, haya mambo ya stock market wadau wanasema sometimes huwa yanakuwa pata potea. Kwa jinsi ulivyoweka maelezo yako, it is like unauhakika kuwa bei za hisa zitapanda huko mbeleni which is a fallacy.
Stock market are stochastic in nature na kuna factor nyingi mno zinzaochangia bei kushuka au kupanda. Some of the factors are internal and can be internally controlled, some are external and never be controlled.
Ni vyema mhusika asichukulia maneno yako in totality.
Mkuu uko Njombe upande upi? Na mimi nimefungua mashamba mengine kule Njombe njia ya Songea. Kuna jamaa anapanda matunda kama hana akili nzuri vile, nimempenda na anayauza Italy.
Tunafahamiana na wewe ndio umenisaidia kupata mashamba hayo , hizi ID za JF bwana...
He's collecting business ideas here!!