Tafuta eneo kama ekari mbili mpaka nne chimba kisima kama ulivyoelekezwa na ikiwezekana tenganisha matumizi ya maji binafsi na maji ya biashara. uza maji kwa ajili ya kutafuta gharama za kuendeleza na kukuza mtaji zaidi, lakini ni vizuri ukafuga kuku wa mayai kama 700 ambao nauhakika hutakosa tray 25 kwa siku kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, tumia fuga ngombe wa maziwa wawili tu watunze vizuri wakupatie lita 20-30 kwa siku, hata kama mazima haya lipi unahitaji mbolea kwa ajiri ya mbogamboga na kupata bio gas pamoja na matunda achilia mbali kwa sababu maji unayo unaweza kuwa na bwawa dogo la samaki ukaanza kuvuna kila miezi minne mara baada ya kupanga na haya chini ndio mapato kwa miezi sita kwa kila mwezi.
[TD="class: xl22"]maziwa[/TD]
[TD="class: xl23, width: 90"] 1,080,000.00[/TD]
[TD="class: xl22"]mbogamboga[/TD]
[TD="class: xl23"] 600,000.00[/TD]
[TD="class: xl22"]mayai[/TD]
[TD="class: xl23"] 4,500,000.00[/TD]
[TD="class: xl22"]maji[/TD]
[TD="class: xl23"] 450,000.00[/TD]
[TD="class: xl22"]samaki[/TD]
[TD="class: xl23"] 500,000.00[/TD]
[TD="class: xl22"]passion[/TD]
[TD="class: xl23"] 400,000.00[/TD]
[TD="class: xl22"]jumla[/TD]
[TD="class: xl24"] 7,530,000.00[/TD]
Natengeneza mchanganuo ukikamilika nitwawasilisha kwenu, vinginevyo humu ndani kuna vibiashara na mawazo ya watu wengi nayaheshimu sana na yamenisaidia sana.
Kama muoga unaweza ukanunua ardhi kiasi wakati unajipanga.