Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

sio bomu, nilitaka nisaidiane nae matumizi. lol, ila nahisi sahvi zimejaa zaidi.

Karudi yupo bongo anakula bata, anazo, nilimwona pale Jolly club juzi. Kama unaweza kukaa Jolly mpaka usiku mnene basi unaweza kumsaidia matumizi kidogo.
 
Karudi yupo bongo anakula bata, anazo, nilimwona pale Jolly club juzi. Kama unaweza kukaa Jolly mpaka usiku mnene basi unaweza kumsaidia matumizi kidogo.

.......hahahaha.... Naaa bro Malila,

Husninyo, subiria Nivune Mitike kwanza, ---hala hala na magumi ya mgongoni--- 😉
 
Last edited by a moderator:
Karudi yupo bongo anakula bata, anazo, nilimwona pale Jolly club juzi. Kama unaweza kukaa Jolly mpaka usiku mnene basi unaweza kumsaidia matumizi kidogo.

hhhhhhhaaaahhha!!! mambo ya jolly tena jamani! bora nije huku maporini tucheke na ngedere. lol. Halafu malila bado najipanga na ile ishu, mambo yamekuwa mengi!!!
 
.......hahahaha.... Naaa bro Malila,

Husninyo, subiria Nivune Mitike kwanza, ---hala hala na magumi ya mgongoni--- 😉

hhhhhhhhhhaaaaahha!!!! nimeshajua sio hiyari yenu kwahiyo usihofu. lol! nitafanya kama nilivyokwambia.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
hhhhhhhaaaahhha!!! mambo ya jolly tena jamani! bora nije huku maporini tucheke na ngedere. lol. Halafu malila bado najipanga na ile ishu, mambo yamekuwa mengi!!!

Poa, vipi siwezi kupata kibarua cha kuzugia mjini hapo kwenu?
 
kibarua hakuna watu tunataka tuje shamba we unataka uje mjini!!! lol.. ngoja mbu aje atupe deals.

Huku shamba sio kuzuri kabisa, juzi Membe kasema tusije mjini kumsalimia Obama, labda pengine kwa sababu hatujui kuoga au kuvuka barabara haijulikani, sasa hivi W.Bush na shemeji wapo Holiday Inn wanaongea na wajasiriamali wenzao huku shamba hawaji.

Simba na yanga zipo mjini, Tanesco wanasambaza umeme mjini sisi tumepewa REA ambayo bila kodi ya Walalahoi haipati hela, nitafutie japo kibarua cha kuchonga viazi vya chips, Pinda kasema tufuge nyuki lakini haji kununua asali yenyewe. Korosho zangu tangu wachukue, malipo mpaka wapange wao,hata kupaka rangi viatu vyenye fungus safari hii nitafanya.
 
Huku shamba sio kuzuri kabisa, juzi Membe kasema tusije mjini kumsalimia Obama, labda pengine kwa sababu hatujui kuoga au kuvuka barabara haijulikani, sasa hivi W.Bush na shemeji wapo Holiday Inn wanaongea na wajasiriamali wenzao huku shamba hawaji.

Simba na yanga zipo mjini, Tanesco wanasambaza umeme mjini sisi tumepewa REA ambayo bila kodi ya Walalahoi haipati hela, nitafutie japo kibarua cha kuchonga viazi vya chips, Pinda kasema tufuge nyuki lakini haji kununua asali yenyewe. Korosho zangu tangu wachukue, malipo mpaka wapange wao,hata kupaka rangi viatu vyenye fungus safari hii nitafanya.

Mkuu unatisha kama kimbunga cha katrina.
 
kibarua hakuna watu tunataka tuje shamba we unataka uje mjini!!! lol.. ngoja mbu aje atupe deals.

....mnh, Husninyo shamba utapaweza weye? Labda ujikite kwenye kilimo cha ufugaji!

Hiki kilimo cha kutegemea mvua wallahi mtihani. All in all, kuna jirani yangu maeneo ya Mkenge (pwani) kajikita kwenye kilimo cha ufuta....kumbe inawezekana!

Ufuta, ulezi, uwele, alizeti ndio mazao yatayotutoa msimu huu wa mvua haba. Karibu chai ya mchai chai na mihogo ilokaangiwa mafuta ya mawese--- mali ya shamba!

Karibu! 😉
 
Last edited by a moderator:
Oa kama bado hujaoa na kama umeshaoa-ongeza wa pili au nyumba ndogo, life is too short, unaweza ukafa next month ukawaachia ugomvi ndugu zako kwa hizo hela!

Teh teh teh... umenichekesha sana we Kalaghesye...
 
....mnh, Husninyo shamba utapaweza weye? Labda ujikite kwenye kilimo cha ufugaji!

Hiki kilimo cha kutegemea mvua wallahi mtihani. All in all, kuna jirani yangu maeneo ya Mkenge (pwani) kajikita kwenye kilimo cha ufuta....kumbe inawezekana!

Ufuta, ulezi, uwele, alizeti ndio mazao yatayotutoa msimu huu wa mvua haba. Karibu chai ya mchai chai na mihogo ilokaangiwa mafuta ya mawese--- mali ya shamba!

Karibu! 😉

Mtama mweupe haumei hapo Mkenge?

Juzi nimewaona jamaa wa maji wanachora ramani ya kupeleka maji hapo mkenge, vp wameshaanza kuchimba mtaro? Bei ya shamba eka moja bado ni ile ile laki tatu?
 
Mtama mweupe haumei hapo Mkenge?

Juzi nimewaona jamaa wa maji wanachora ramani ya kupeleka maji hapo mkenge, vp wameshaanza kuchimba mtaro? Bei ya shamba eka moja bado ni ile ile laki tatu?

......thubutuuu 🙂

Wandengereko wameshtuka!
Kuna shamba hapa Mkenge Shuleni, approx eka 5 jamaa analiuza 15m/-.
Wanadai lina mazao miembe, mokorosho, na michungwa kama mia moja....

Ardhi ya mkenge muafaka kwa mtama, nguvu yako tu. majaribio shambani hapa (pamoja na jua kali lile) mtama umemea...

Mradi wa maji bado, ila naskia kuna muwekezaji wa kihindi anataka kujenga kiwanda maeneo ya jirani hapa, sasa sijui Mkenge penyewe au ni kule Mwarusembe...
 
Msanii/mbu

Kama mnamaanisha ktk biashara hii ya miti,nipe e mail address zenu halafu tuone tutafanya nini.Sitaki hela ya mtu.Mimi nilishituliwa na mshikaji bure na mimi nitakusaidia bure. Michanganuo yenu mtafanya baadae mkipenda. Mimi sikufanya hiyo michanganuo.

Malilaa hiyo ngoma imwage mkuu
 
....mnh, Husninyo shamba utapaweza weye? Labda ujikite kwenye kilimo cha ufugaji!

Hiki kilimo cha kutegemea mvua wallahi mtihani. All in all, kuna jirani yangu maeneo ya Mkenge (pwani) kajikita kwenye kilimo cha ufuta....kumbe inawezekana!

Ufuta, ulezi, uwele, alizeti ndio mazao yatayotutoa msimu huu wa mvua haba. Karibu chai ya mchai chai na mihogo ilokaangiwa mafuta ya mawese--- mali ya shamba!

Karibu! 😉

napaweza shamba Mbu.. muulize Malila shahidi yangu. lol. kilimo cha kutegemea mvua kweli kinatutenda sie wakulima. bora kujipanga na cha umwagiliaji. hapa umenitoa udenda kunitajia hivyo vyakula vya shamba.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
napaweza shamba Mbu.. muulize Malila shahidi yangu. lol. kilimo cha kutegemea mvua kweli kinatutenda sie wakulima. bora kujipanga na cha umwagiliaji. hapa umenitoa udenda kunitajia hivyo vyakula vya shamba.

Mkuu MBU, siku nilipoonana na Husninyo huko shamba Ubena zomozi nilizima feki, nilimkuta anafyeka majani kwa mundu hadi sikuamini.


 
Mkuu MBU, siku nilipoonana na Husninyo huko shamba Ubena zomozi nilizima feki, nilimkuta anafyeka majani kwa mundu hadi sikuamini.



......dah? Alipitia u-kuruta nini JKT? Kwa mtaji huo wa 'saka nyoka,' namuaminia aisee 🙂
 
aisee nimesoma mwanzo wa hii kitu 2009 mpaka 2013,sasa ni utekelezaji tu,malila lazima nikutafute kuhusu miti na mazao...i wish watanzania tungekuwa na mtazamo wa kijasiliamali zaidi,
 
Ng`ombe kweli wanalipa ( maziwa sio nyama),lakini jamaa yuko nje ya nchi. Mziki wa kutunza ng`ombe ukiwa mbali,tena ng`ombe wa maziwa si mchezo. Angekuwa Bongo ningemsaidia kumwonyesha kiwanja safi cha kufugia ng`ombe hao.

We ndo umeweka mchango wa maana coz biashara nzuri ni ile ambayo we ndo. Mzalishaji alafu unawauzia wengine ili. Wapate kafaida jiulize wazalishaji mali wote kama wanafilisika ovyo ?
 
Back
Top Bottom