Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Kanunue hisa za crdb ambazo zinauzwa at shs 150 per share. 10 m itakupatia shares 66,666. Hii maana yake nini. Kama ungepeleka DECI labda ungevuna 20m baada ya miezi 4? Sijui formula yao.

Lakini ukinunua shares hizi crdb zikipelekwa kwenye soko la hisa unaweza ukaziuza zote halafu ukavuna zaidi ya asimia 100. Na hii ni baada sana sana ya miezi miwili.

Kwa hiyo ukipata 20m zako iko mbaya gani/ U can decide kuziweka kwenye Fixed deposit ya hao crdb halafu ukaitumia hiyo kuombea mkopo. But this depends very much if u have a steady monthly income.

Huo ni ushauri wangu wa bure

Nimeupenda huu ushauri
 
Karibu sana, ila utanikuta shambani Mkuranga !!!!!!!!!

mkuu malila mkuranga kijiji gan..nimetoka huko leo!kijiji shunbwen!kule naona mazao meng watu wanalima mf tkt,plpl,mbaaz,nanas n.k!najiandaa kuanza kilimo taratibu msimu huu,
 
mkuu malila mkuranga kijiji gan..nimetoka huko leo!kijiji shunbwen!kule naona mazao meng watu wanalima mf tkt,plpl,mbaaz,nanas n.k!najiandaa kuanza kilimo taratibu msimu huu,

Niko huko huko Shungubweni, nimepata kipande pale daraja mbili kabla hujafika kijijini, mto Mduzi, wewe umepata wapi? Hujapita pale ukaona kuku wanagombana njiani mkono wa kushoto ukitoka mjini!!!!!!!!!!!!!
 
Niko huko huko Shungubweni, nimepata kipande pale daraja mbili kabla hujafika kijijini, mto Mduzi, wewe umepata wapi? Hujapita pale ukaona kuku wanagombana njiani mkono wa kushoto ukitoka mjini!!!!!!!!!!!!!

...... Hahaha... Ati kuku wakigombana..
 
Nimesoma hii thread nimeishia page ya 10, nawahi sehemu nitaendelea nikirudi.
Mbu upo UK au Bongo? tuwasiliane nina good ideal, regardless hii thread ni muda mrefu lakini inaweza kuwa bado ni relevant.

.....muda huu nipo Tz mpaka Obama aondoke....
 
Niko huko huko Shungubweni, nimepata kipande pale daraja mbili kabla hujafika kijijini, mto Mduzi, wewe umepata wapi? Hujapita pale ukaona kuku wanagombana njiani mkono wa kushoto ukitoka mjini!!!!!!!!!!!!!

mkuu hapo ktk kuku wanaogombana umeniacha hoi!anyway cjawa mwenyeji saana!kituo kinaitwa mitimirefu!maeneo yapo ya kutosha kule!sema bei zinapanda kila kukicha,kuanzia za maeneo ya kukodi mpaka maeneo ya kununua!yule mwarabu na wachina wametuharibia!nadhani sio muda mrefu sana barabara itamalizika ile!na maeneo ndo yatapanda bei zaidi.
 
wadau ikiwa nataka kuimport bidhaa kutoka nje na kuziuza ndani ya nchi hapa,je ni bidhaa ipi itanilipa? mtaji kuanzia milioni 50 kwenda hadi milioni 200.
au kama una successfully business plan yoyote nisaidie ndugu yangu, sitakuacha.
Mkuu huo mtaji wa Milioni 200 ni mkubwa sana, na kuhusu bidhaa ni wewe tu,ila nakushauri bora uingie katika kuagiza budhaa za kilimo na mifugo ili usaidie kuinua kilimo huku bongo, tuko nyuma sana kwa kilimo na ufugaji,
Kwa China kwa hizo pesa unapata lebo yako mwenyewe kabisa,
 
mkuu hapo ktk kuku wanaogombana umeniacha hoi!anyway cjawa mwenyeji saana!kituo kinaitwa mitimirefu!maeneo yapo ya kutosha kule!sema bei zinapanda kila kukicha,kuanzia za maeneo ya kukodi mpaka maeneo ya kununua!yule mwarabu na wachina wametuharibia!nadhani sio muda mrefu sana barabara itamalizika ile!na maeneo ndo yatapanda bei zaidi.
Yule mwarabu alitaka kuning'oa Mimi nikamwambia sing'oki hata kwa mbinde. Ananisubiri eti niende nikachukue hela.
 
hahaha..kachukue mahela hayo!


Sasa kila kitu kizuri tukiwaachia wenye hela sisi tutabaki na nini? Mfano, K/koo wanatuhamisha, Vingunguti nako wameanza kutuhamisha, Sinza wanatuhamisha, na Shungubweni nako watuhamishe, aah wapi atahama yy safari hii. Pale pana maji ya mto usiokauka, ndio urithi wa watoto wangu. Penye maji nimwachie mtu !!!! thubutu.
 
lini utakua shamba tena mku..!mwez ujao nataka niingie shamban mwenyewe

Nitaingia Dar july hii ktkt na nitaunganisha shambani pale. Nitakushitua siku nikienda, siku hiyo lazima niangushe jogoo tule supu kule kule shambani.
 
Sasa kila kitu kizuri tukiwaachia wenye hela sisi tutabaki na nini? Mfano, K/koo wanatuhamisha, Vingunguti nako wameanza kutuhamisha, Sinza wanatuhamisha, na Shungubweni nako watuhamishe, aah wapi atahama yy safari hii. Pale pana maji ya mto usiokauka, ndio urithi wa watoto wangu. Penye maji nimwachie mtu !!!! thubutu.

mkuu umetisha.
 
Pole kwanza kwa kupata Ml 10 halafu huna idea za ufanye nini. Naamini ya kwamba katika maisha binadamu inatakiwa unakuwa na malengo kwa mfano..... nikipata kiasi fulani cha fedha nitafanyia kitu fulani.... kama nitafanya biashara basi itakuwa biashara fulani....... Mtaji wako wa kwanza ni akili yako mwenyewe kisha ndo mawazo na miongozo ya watu wengine ifuate. Sasa basi kama unaomba ushauri bila kuwa na uelekeo wewe mwenyewe hutapata muelekeo hata siku moja coz kila mtu anakupa mawazo yake ambayo yanakuwa tofauti na mawazo ya watu wengine. Ningeomba kwanza utueleze wewe kama wewe ulikuwa unatarajia kufanya biashara gani kisha ndo tukushauri kulingana na hiyo biashara na changamoto zake.


Ni hay tuuuuuuuuu.
 
Mawazo kama haya ni very productive kama yakiwekwa katika vitendo na sio kuishia hapa tu jukwaani.
 
dah Mbu nilifikiri umepata hivi karibuni kumbe thread ya tangu 2009. tupe feedback au ulizitafuana? lol
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom