Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Nunua magari ya zamani kuna kwa watu bei izsizidi m 1.5 unayapeleka mikoani na kuyauza kwa m3 hapo na kulisafirisha hukosi 700000 kwa kila gari kuna magari mengi ya zamani bongo hayauziki mikoani yanauzika watu bado washamba wengi
 
 
Reactions: amu
Mr mbu Nina mashamba makubwa,naomba mtaji tuingie ubia tufanye kilimo cha kisasa,nakwambia hutajuta me mbu
 
Reactions: Mbu

uko sahii bro, lkn ni watanzania wachache sana ambao wako tayari kufanya kazi hizo za kitwana, wengi wanapenda zile za kuvaaa nguo nyeupe na tai kidha kukaa pembeni na kuangalia fedha zao zikifanya kazi. wao wenyewe hawapendi kushiriki kufanya kazi. other ni good idea.
 

uko sahii sana. azingztie " CAMPARI" principle. hiyo itamsaidia. kiuhalisia, kama hutoweza kushiriki katika biashara yoyote ujue umekwisha. you hav at large to particiate kwenye project yoyote.
 
Wakuu ninataka niweke mtaji wa Milioni kumi kwenye biashara ukiwa ni mtaji.. Hapa Nalenga biashara ya jumla ambayo itanifa faida chaputachapu. Nitaka ile biashara ya kuchukua mzigo ninauuza kwa jumla naenda tena kuchukua na kuuza kwa jumla sokoni. Nataka nipate pesa halali ya chapchap. Sitaki biashara yakuzinguana yaani ile ya mama fulani kakopa kisha unamfatilia mwezi mzima kixsha, anakupiga kalenda. Nataka biashara itakayonipa faida ya kutosha ndani ya muda mfupi.

Naomba mawazo yenu wakuu wangu.
 
Kafuge nguruwe.
Nguruwe nafuga. Na nilishaweka post yangu hapa inayosema baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu jamii forum nikaona nianze hivi. Inahusu ufugaji nguruwe. Soma vizuri post yangu. Nguruwe siyo kwa ajili ya pesa ya chapchap. Nguruwe ni uwekezaji wa muda kidogo. Hata hivyo naheshimu mawazo yako.
 
Unahitaji active investment ( marejesho ya haraka na risk ni kubwa) au passive investment (risk hiko chini sana, marejesho ni ya taratibu sana)?
 
Tafiti sekta ya madini, fanya kununua na kuuza madini kama ya vito au dhahabu.

Simple projection
dhahabu unaweza kupata kwa gramu 50,000-60,000 na unaweza pata faida ya minimum 10,000 kwa kila gram. hivyo kwa mil.10 unapata faida max. mil.2 kwa kila mzunguko.

kwa biashara ya vito unaweza kujaribu madini kama rhodolite na red garnet ambayo yana soko sana arusha unanunua gramu moja kwa max. 5,000 kwa jiwe la gramu 5 na zaidi na wewe unauza mpaka 50,000 kwa gramu kwa jiwe lililozuri ni biashara inayolipa sana.

ila kumbuka ulingo wa madini una pesa nyingi sana hivyo utapeli ni mwingi yakupasa kuwa mwangalifu sana all in all AIM HIGHER AND REACH FOR THE SKIES.
 
kama uko serious, njoo tufanye partnership kwenye kijimradi. Mtaji wa 5M. Unatosha kutengeneza fedha ya kutosha. Unaweza kuni PM au nitafute kwenye +260973050218
 
Npo dom hapa kwa mda ni pm nikusaidie mawazo either itasaidia
 
kama una utayari wa kuvuka mpaka, njoo kwa jirani zetu wazambiani, hiyo fedha zinafunguliwa ofisi mbili ambazo zinaweza kurejesha fedha yako ndani ya mwezi mmoja tu. Zaidi ya hapo ni kutengeneza faida. Ni PM kwa info zaidi
 
PM za nini sasa??!!
Unayesema hostel, labda ila akaangalie mapungufu ya wanafunzi vyuo vyote then awe informed!!!
Kaangalie aina ya maduka ya nguo then fikiria kuhusu nguo za ndani classic
 
njoo tufanye biashara ya vipodozi iringa! tenga 5milion tu kwa kuanzia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…