Badootu ujajiajiriWadau mimi ni Mwajiriwa,
Katika mambo ya urithi leo hii nimepewa mgao wangu wa 10mil cash. Nimeweka kwenye Account yangu nafikiria kitu cha kuifanyia.
Kwa nyie wazoefu, nipeni ushauri kibiashara ila mkizingatia mie ni mwajiriwa.
Nitashukuru kwa kila wazo chanya
Kamaa atakuwepo else akupe cont umuuziekanunue miti njombe kule boimanda, ila iwe karibu na barabara alafu tulia 15yrs uje utupe mrejesho
Labdaayakiborilonn ikibebaa zilrnbegeeHata mimi nilitambua kuwa kadanganya. Hesabu ya carry ni alfu 15 kwa siku.
kweli hana hiyo hela akiipata hata omba ushauri japo akipata aweke kwenye fixed deposit itamsaidia piaHuyu jamaa hana hiyo hela ila anawaza endapo ataipata ataifanyia nini?hongera kwa kutaka ushauri kabla ya kuikamata mkuu.
Kabla hujafikiria kufanya biashara yoyote ile kitu cha kwanza lazima uijue hiyo biashara utakayo ifanya ,pili uwajue wapinzani wako hapa ndiyo patamu lazima ujue nguvu zao na upungufu/mapungufu yao nawewe ujue nguvu zako na mapungufu yako,tatu lazima uwajue wateja wako ni wakina nani na ikibidi ni muhimu kujua wanaishi wapi na income zao jikoje biashara yoyote lazima uiandikie business plan kwanza fanya makosa kwenye karatasi kwanza kabla huja ziunguza hizo pesa karibu kwa maswali maana hilo ni eneo langu pia (Do not sell what you think a customer is going to buy instead what you know is going to buy )Wadau mimi ni Mwajiriwa,
Katika mambo ya urithi leo hii nimepewa mgao wangu wa 10mil cash. Nimeweka kwenye Account yangu nafikiria kitu cha kuifanyia.
Kwa nyie wazoefu, nipeni ushauri kibiashara ila mkizingatia mie ni mwajiriwa.
Nitashukuru kwa kila wazo chanya
Bodaboda sikushauri km una hiyo 10m fikiria kitu kingineKwa mfano ninunue boda boda 8 kwa bei ya jumla.. nifungue account say BOA bank. Kila nikipewa cash nadeposit huko.. Then cash inflow niwe nanunua boda boda moja kila mwezi. After six months si naweza kukopa na kununua boda boda nyiingi zaidi au!???
Dahh kaz kweli kweli!!!
Nahitaji kutulia
Mkuu pesa ya urith haifanyiwi biashara....ujui mzee kapataje..nenda tafuta kiwanja jenga then pangisha itakusaidia maisha yako yoote
Wadau mimi ni Mwajiriwa,
Katika mambo ya urithi leo hii nimepewa mgao wangu wa 10mil cash. Nimeweka kwenye Account yangu nafikiria kitu cha kuifanyia.
Kwa nyie wazoefu, nipeni ushauri kibiashara ila mkizingatia mie ni mwajiriwa.
Nitashukuru kwa kila wazo chanya