Huu ndo ushauri wa msingi!!!KWANZA PANGISHA CHUMBA CHA BIASHARA MWAKA @50"000*12=600"000
LIPALESENI YA GAS 70"000,,
NUNUA MITUNGI MITANOKUBWA
ORYX 5*79"000
MIHAN 5*74"000
ORYX NDOGO 5*39"000
MIHAN NDOGO 5*37000
NUNUA BURNER 5"KWA ALF 50"UTAUZA KWA 20000@
NUNUA REGULATOR 5 KWA 65"000,.KILA MOJA UTAUZA KWA 20"000
NUNUA PIPES ROLLER KUBWA MOJA 65"000,MT 40.KILA MT UNAUZA 4000
NUNUA MAJIKO 4@65"000 UNAUZA KWA 80"000
MPWA KAMA N NDUGUYAKO AJE INBOX NIKO NA EXPR NA HII BIASHARA HADI JINSI YA KUKWEPA KODIZAKE LOHHuu ndo ushauri wa msingi!!!
Kaka nitaomba maelezo zaidi kuhusu UTTkwa ushauri wangu hiyo hela wekeza katika taasisi za kifedha za kukuza mtaji kama vile utt pesa yako itakuwa kuna mifuko mbalimbali ya kununua hisa kadri bei ya vipande inavyvo panda ndio unapata faida na kuna mfuko ambao unatoa gawio kila baada ya miezi mitatu kama utawekeza kuanzia milioni mbili na kuna gawio kila baada ya mwaka mmoja kama utawekeza tsh milioni moja kumbuka hela yako ukiamua kuichukua unaweza ukaichukua ukitaka vilevile kuna mfuko wa umoja unaweza kuanzia elfu kumi na utawekeza kadri kulingana na uwezo wako na unapata faida bei jinsi inavyopanda na vilevile unaweza ukakopa hizo hisa ndio dhamana yako.
Njoo Maeda bar tukuoneshe cha kufanyaWadau mimi ni Mwajiriwa,
Katika mambo ya urithi leo hii nimepewa mgao wangu wa 10mil cash. Nimeweka kwenye Account yangu nafikiria kitu cha kuifanyia.
Kwa nyie wazoefu, nipeni ushauri kibiashara ila mkizingatia mie ni mwajiriwa.
Nitashukuru kwa kila wazo chanya
Unataka kusema nini, waliojenga wote walitumia zaidi ya million 10utajenga kwa muilioni kumi?
njoo dom utajenga kwa hiyo 10 yakoutajenga kwa muilioni kumi?
Ndugu yangu...Kwa maelezo zaid juu ya biashara na mtaji wako njoo inbox +255765100319
kwann usimpe hyo idea hadharani na wengine wanufaike au unataka kumuuzianpm mkuu, utafurai sanaaa!
Mkuu, hiyo ni laki mbili au elfu ishirini?kagera ng'ombe wanauzwa bei ya kutupa 20,000/= source mwananchi 18/10/2016, kwa kukosa malisho sbb ya ukame. kama una eneo nunua walete dar wanenepeshe kwa 3months then piga bingo yako safi kwa uchache 700,000=
nzurikagera ng'ombe wanauzwa bei ya kutupa 20,000/= source mwananchi 18/10/2016, kwa kukosa malisho sbb ya ukame. kama una eneo nunua walete dar wanenepeshe kwa 3months then piga bingo yako safi kwa uchache 700,000=
Mkuu, hiyo ni laki mbili au elfu ishirini?
Mkuu, hiyo ni laki mbili au elfu ishirini?
20000
Duuuuh! Kama ni hivyo nadhani kuna haja ya Serikali kuingilia kati kuwaokoa wafugaji na hasara kubwa namna hiyo...hapa atanielewa mfugaji au aliyelelewa kwenye mazingira ya ufugajikwa tarakimu 20,000/=or twenty thousand kiinglish. Nafikiria kwenda huko soon nikipata chance.
weka ushauri mkuuKwa maelezo zaid juu ya biashara na mtaji wako njoo inbox +255765100319
Mkuu si ushare tunpm mkuu, utafurai sanaaa!