Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Habari wadau

nataka kubadilisha biashara, ijapokuwa hii ninayofanya ndio imenipa Mtaji wa kutaka kufungua biashara nyingine.

Swali milioni 6 nitafungua biashara gani hapa Dar ikanilipa vizuri?

Naombeni ushauri
Ni biashara gani unafanya kwa sasa, tunaweza kukushauri namna ya kuikuza
 
Tumia Pesa hiyo kuboresha biashara ileile achana na Mpya utakuwa huna experience NAyo
 
BIASHARA YA USAFIRISHAJI(BAJAJI)....BAJAJI....BAJAJI.FAIDA ZAKE..1.unatumia muda wa mtu mwingine na nguvu ya mtu mwingine(unaajiri dereva) wewe unakusanya mpunga wako mwisho wa siku.2.haihitaji usimamizi wa karibu kama biashara inayohusisha fremu..3.haina msimu watu wanasafiri daily na watapanda tu iwe msimu wa mvua au jua.CHANGAMOTO...1.kumpata mtu mwaminifu wa kumkabidhi..2.kuibwa/kupata ajali/kuharibika/kuungua....ikatie bima,andikisha mkataba wa kueleweka na mkabidhi mtu unayemfahamu vizuri.
 
nakaribisha wote mnisaidie mawazo ya biashara kwa mtaji huo wa milioni tano nilio nao.
anbacho nimewaza mimi nitaka nianze na moja kati ya hizi
1 duka la nguo kwa vijana za kiume na za kike ila special
2 duka la vipodozi
3 kununua mbili
4 ningepata sehem ambayo naweza kutoa milioni4 nikapewa bajaji moya alaf ntakua narejesha taratibu.

naombeni mawazo yenu kwenye moja kati ya biashara nazotaka kufanya hapo juu pia kama kuna wazo jipya la biashara kwa mtaji huo nitashukuru nataka kufanya na kusimamia mwenyewe.
 
Hebu ingia hapa Africa-Do-Business.com na pia kama huna uwezo kusimamia Biashara nenda solo la hisa Dar es salaam nunua his a za Vodacom usubirie gawio.
 
Fanya biashara ya kuku ndungu inalipa Sana iwapo utaitilia mkazo...
Kuna wale kuku wa SINGIDA au wakienyeji wakubwa. Ukitafuta ndan ndan kwa gharama nafuu utaiona faida yake. Soko zuri lipo bugurun au TANDIKA.
Ukihitaji maelekezo zaid +255719034702
 
Fanya biashara ya kuku ndungu inalipa Sana iwapo utaitilia mkazo...
Kuna wale kuku wa SINGIDA au wakienyeji wakubwa. Ukitafuta ndan ndan kwa gharama nafuu utaiona faida yake. Soko zuri lipo bugurun au TANDIKA.
Ukihitaji maelekezo zaid +255719034702

nipo mkoani kiongozi hao kuku naweza kuwa nawaleta huko dar?soko lake ni la uhakika.naomba changamoto zake jinsi ya kusafirisha mkuu wasije wakafa njiani
 
Hebu ingia hapa Africa-Do-Business.com na pia kama huna uwezo kusimamia Biashara nenda solo la hisa Dar es salaam nunua his a za Vodacom usubirie gawio.

kwenye hisa hapa naomba muongozo mkuu napataje faida mfano nikiweka milioni tano yote
 
Huko mbeya kodisha shamba ulime...nyingine wkw bank mpaka utakapokuwa mzoefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…