Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Ni biashara gani unafanya kwa sasa, tunaweza kukushauri namna ya kuikuzaHabari wadau
nataka kubadilisha biashara, ijapokuwa hii ninayofanya ndio imenipa Mtaji wa kutaka kufungua biashara nyingine.
Swali milioni 6 nitafungua biashara gani hapa Dar ikanilipa vizuri?
Naombeni ushauri