kama wewe ni mkristo nakushauri fuga nguruwe pamoja na kuku wa kienyeji.
kwa hizo eka3 ongeza hekari 8 ili ulime chakula cha mifugo mahindi,alizet na majani ya nguruwe ili upunguze gharama ya ulishaji.
nunua nguruwe 10 watoto majike,nunua na kuku wa kienyeji 100 wenye umri wa miezi 3 uwapatie chanjo.
mil5 mbona ni nyingi mkuu..wengne tumeanza na mil3 tu.Kwa huo mtaji wa mil 5 mkuu!
Toa maelezo ya kina mkuu.....Umegusia gusia tu................kama wewe ni mkristo nakushauri fuga nguruwe pamoja na kuku wa kienyeji.
kwa hizo eka3 ongeza hekari 8 ili ulime chakula cha mifugo mahindi,alizet na majani ya nguruwe ili upunguze gharama ya ulishaji.
nunua nguruwe 10 watoto majike,nunua na kuku wa kienyeji 100 wenye umri wa miezi 3 uwapatie chanjo.
Mkuu nina maana yangu kukwambia ufuge mifugo yote miwili kwa pamoja,kumbuka kuku ndio watakusaidia katika kulisha/kuendeleza nguruwe pindi ukiwa hauna kipato cha kulisha nguruwe.Nimekusoma mkuu, lakini naona mtaji kama hautatosha... nikiamua kuchagua kimoja, kati ya kuku na nguruwe unashauri vipi? Yani kipi kitarudisha pesa kwa haraka?
mkuu soma post 11&13Toa maelezo ya kina mkuu.....Umegusia gusia tu................
Sio kila mahali hiyo inawezekana je kama yupo kijijini, kijiji chenyewe kina watu 150 na kati ya hao watoto 90For quickly money anzisha banda la burger..chips..vuruga..kuku choma..makange..ndizi kaanga..utapiga hela hatari
Nimeelewa David Harveymil5 mbona ni nyingi mkuu..wengne tumeanza na mil3 tu.
(1)-nguruwe 10@40000 jumla laki 4.
(2)-kuku 100 miezi 3..100@4000 jumla laki 4.
(3)-chakula mil 1.5
(4)-ujenzi banda mil 1.
(5)-madawa laki2.5
(6)-dharula laki 4.5
jumla kuu ni mil4
Zingatio:uwe mvumilivu,ujitoe kimwili na kiakili uwe na upendo kwa mifugo yako.mshirikishe Mungu ktk kila ufanyalo.
kumbuka changamoto ni muhimu usikate tamaa pindi mifugo inapokufa.
Sisi wengne ufugaji ndio umetutoa lakini tumepita ktk magumu
mil5 mbona ni nyingi mkuu..wengne tumeanza na mil3 tu.
(1)-nguruwe 10@40000 jumla laki 4.
(2)-kuku 100 miezi 3..100@4000 jumla laki 4.
(3)-chakula mil 1.5
(4)-ujenzi banda mil 1.
(5)-madawa laki2.5
(6)-dharula laki 4.5
jumla kuu ni mil4
Zingatio:uwe mvumilivu,ujitoe kimwili na kiakili uwe na upendo kwa mifugo yako.mshirikishe Mungu ktk kila ufanyalo.
kumbuka changamoto ni muhimu usikate tamaa pindi mifugo inapokufa.
Sisi wengne ufugaji ndio umetutoa lakini tumepita ktk magumu
For quickly money anzisha banda la burger..chips..vuruga..kuku choma..makange..ndizi kaanga..utapiga hela hatari
> Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya...?Nina Tsh. 10m nahitaji kufanya biashara. Je ni biashara ipi naweza anza nayo.
Hao nguruwe wanatumia mda gan kukua umri wa kuzaa?Na je hao majike utawambandisha na nn?mil5 mbona ni nyingi mkuu..wengne tumeanza na mil3 tu.
(1)-nguruwe 10@40000 jumla laki 4.
(2)-kuku 100 miezi 3..100@4000 jumla laki 4.
(3)-chakula mil 1.5
(4)-ujenzi banda mil 1.
(5)-madawa laki2.5
(6)-dharula laki 4.5
jumla kuu ni mil4
Zingatio:uwe mvumilivu,ujitoe kimwili na kiakili uwe na upendo kwa mifugo yako.mshirikishe Mungu ktk kila ufanyalo.
kumbuka changamoto ni muhimu usikate tamaa pindi mifugo inapokufa.
Sisi wengne ufugaji ndio umetutoa lakini tumepita ktk magumu
Ningependa uniajiri mkuu,Wadau naomba msaada wenu kwa arusha milioni 4 naweza fanya biashara gani iwe biashara ambayo inahesabika kilahisi hata kama kuibiwa isiwe sana maana nataka kuweka mtu angalau tfanye mahesabu kwa wiki kwa wenyeji wa arusha nitafurahi hata mkiniambia hata maeneo yanayofaa kwa biashara me niko Njiro ila kumepoa sana watu wako Magetini