Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Nunua kiwanja na ujenge au nyumba mbovu na ikarabati katika miji inayokua na iliyopa maeneo ya ya barabara kuu na wekeza gesti.

Inalipa sana. Assume umejenga gesti moja ya kiwango cha 4m,nauhakika itapata wateja wa uhakika na fedha yako itarudi baada ya muda mfupi.
Kwa miji midogo gesti ya 4m inaonekana ya 5star.

Ajenge guest house kwa Tsh. 4m? Hapa sijaelewa! Maana 4m ni hela ya kujenga vyumba viwili tu. Au unamaanisha ajenge mbavu za mbwa?

Wapi huko mzee, na mimi nikajenge guest ya 4Mil ??? Tanzania hii hii??

...dah, na mimi nimebakia nimeshikilia kidevu kwa mshangao,...anyway...labda anakusudia nyumba ya miti na kukandika kwa udongo!

wazo zuri Ikena, sema utekelezaji wake ndio unanitia mashaka.

Kwa experiences zangu, Inawezekana kuwa na "gesti" za aina hiyo kwenye machimbo ya madini kama nilivyoona kule Tunduru miaka ya 80's! 🙂
 
Hapo uliposema 10m/= is not enough for real business ndio umeniacha hoi!, Real business ni ipi na unreal ni ipi? ...i hope humaanishi kwenda China na haka kamtaji kangu kununua zile feki zao? au?[/QUOTE]

aiseee I didn't meant to offend you nilikua nastreass point yangu on that with 10m capital utastart a small business ambayo profit yake ni ndogo ndogo kiasi cha kwamba usipokua makini unaweza kuanza kula mtaji ukifikiri profit, hapo ukiweka 6m, ujue kuna mambo ya leseni,kodi za pango(depending na nature ya business),satationaries, and other business support expenditure ambazo ukiziinclude kwa capital utapunguza hiyo 6m na ile iliyobaki inabidi uimege ikusurport, well all in all inatakiwa utayari binafsi as people we defer so cases are not the same,lakini tafuta mawazo kwanza while injecting your ideas.
 
Mkuu, 1 & 2.......!

Mzee natengeneza kibooklet for this, so kwenye 2 naomba zungumzia sana mitiki......na acquaire eneo huko Moro for this!

Kifanikiwa tacomeback to you!

Ifakara ( kilombero/mtibwa kuna ugomvi wa ardhi), kuna faa sana kwa mitiki, kwanza mbegu za kuokota ktk miti na kuzitengeneza ni nyingi badala ya kununua, ukiokota mbegu unaloweka ktk maji yanayotembea masaa 72 kisha unapeleka ktk kitalu chako ili kuotesha. Ikishaota unaweza kuweka ktk polythene tubes na kuziacha kwa muda miezi mitano then peleka shambani. Njia hii ni ya kitalaamu ila kwa uzoefu hutapata miche mingi ktk kilo moja.(kama una ubavu nenda Mgeta,mbingu na kisaki kuna ardhi mpaka basi)

Njia ya uswahilini iliyogunduliwa ni kukusanya mbegu na kuzitwanga ili zibanduke kirahisi kisha loweka na endelea kama hapo juu.

Njia ya tatu ni kutumia suckers/mizizi,hili sijalifanya. Nategemea kulifanya soon kwani mitiki inayotokana na njia hii haifi na inakuwa haraka na miche
yake ina nguvu.

Kama uko Dar nenda Mkuranga kijiji cha Shungubweni au Funza au Mwalusembe utakuta ardhi haina mwenyewe. Inafikika mwaka mzima,tatizo wenyeji wavivu sana. Mwaka jana rafiki yangu alipanda mitiki 8000 kwa wiki tatu,wakati kule kwenu hiyo ni kazi ya siku nne kwa watu kumi.

Pale Mbagala kwa sasa bei ya mche wa mtiki ni Tsh 500/
 
Last edited:
Kama uko Dar nenda Mkuranga kijiji cha Shungubweni au Funza au Mwalusembe utakuta ardhi haina mwenyewe. Inafikika mwaka mzima,tatizo wenyeji wavivu sana. Mwaka jana rafiki yangu alipanda mitiki 8000 kwa wiki tatu,wakati kule kwenu hiyo ni kazi ya siku nne kwa watu kumi.

Pale Mbagala kwa sasa bei ya mche wa mtiki ni Tsh 500/

Kule Vikindu karibu na Kijiji cha Malela nina kieneo mkuu, vipi hakutafaa kwa mitiki?
 
Taratibu bro,

Malela upande upi,wa mto kogamimba au upi. Mi niko Yavayava natazamana na malela kwa ng`ambo. Eneo lile bomba vibaya mitiki inakubali,msimu huu tumepanda pale Mfurumwambao inakwenda vizuri sana.
 
Mi nadhani kitu cha kwanza kabisa in any plan of doing business, you have to have various business ideas which then you have to screen them and get the one that is the best of all as far as factors affecting market and business are concerned. So nadhan ungetoa idea zako then ukaziexpose,watu wakakusaidia kuscreen kwa kuangalia factors mbalimbali kwa sababu in screenining business ideas,ushauri muhimu. Nadhani kwa kufanya hivyo, at least utapunguza uncertainities wakati una invest hizo 10m.
 
Taratibu bro,

Malela upande upi,wa mto kogamimba au upi. Mi niko Yavayava natazamana na malela kwa ng`ambo. Eneo lile bomba vibaya mitiki inakubali,msimu huu tumepanda pale Mfurumwambao inakwenda vizuri sana.

Aaaaah kaka unatisha, upo hadi yavayava?

Nimefika kule, ila kaeneo kenyewe kapo Vianzi kwa mbele kidogo mtaa unaitwa Manyani! Upande wa Maraogoro wa mto Gonga mimba kuna jamaa alitaka kututapeli maeneo tukamstukia tukalala mbele, sijarudi tena huko!

Aisee nitakuja nioni hiyo project yako, cause ni jirani sana hapo Mfurumwambao mkuu!
 
Ajenge guest house kwa Tsh. 4m? Hapa sijaelewa! Maana 4m ni hela ya kujenga vyumba viwili tu. Au unamaanisha ajenge mbavu za mbwa?


Nyumba ya tofali za kuchoma kabisa.
Kama tofali ni Tsh100, kiwanja kiwanja ni laki 1 -2, Gesti ya maana kwa kijijini haijaisha hapo?
 
Karibu sana,

Huyo jamaa katapeli wengi sana,wa kwako anaitwa nani,taja herufi moja tu ya kwanza na mkoa anaotoka. maana kuna mmoja kule kaliza watu kibao. Ongeza umbile lake na rangi ya ngozi.

Ukitaja hivyo vitu nitajua ndiye.
 
...dah, na mimi nimebakia nimeshikilia kidevu kwa mshangao,...anyway...labda anakusudia nyumba ya miti na kukandika kwa udongo!

wazo zuri Ikena, sema utekelezaji wake ndio unanitia mashaka.

Kwa experiences zangu, Inawezekana kuwa na "gesti" za aina hiyo kwenye machimbo ya madini kama nilivyoona kule Tunduru miaka ya 80's! 🙂


Huna haja ya kuwa na Mashaka, maeneo mengi tu yanawezekana kwa hiyo hela.
Mfano viwanja vya kibaigwa-Dom au Chimala-Mbeya havizidi laki 1, tofali la kuchoma halizidi 100/=, sa hapo gesti ya maana kwa kijijini haijasimama apo?
 
Huna haja ya kuwa na Mashaka, maeneo mengi tu yanawezekana kwa hiyo hela.
Mfano viwanja vya kibaigwa-Dom au Chimala-Mbeya havizidi laki 1, tofali la kuchoma halizidi 100/=, sa hapo gesti ya maana kwa kijijini haijasimama apo?


Nisaidie mzee,chimala kipande kipi pale,mi kwetu Mwashinga,babu yangu katokea Chosi A, nisaidie eneo ambalo viwanja vinauzwa bei hiyo nami nijitahidi niungeunge mshahara ninunue kimoja. nitajie na ukubwa tafadhali.
 
Karibu sana,

Huyo jamaa katapeli wengi sana,wa kwako anaitwa nani,taja herufi moja tu ya kwanza na mkoa anaotoka. maana kuna mmoja kule kaliza watu kibao. Ongeza umbile lake na rangi ya ngozi.

Ukitaja hivyo vitu nitajua ndiye.

Prof. mwenyewe jina limenitoka kidogo, ila ndundami (msaidizi) wake jina lake lina herufi za ....''mwa.....kani'' hivi!

Yule jamaa ni ''Port boy'' aka kwa mwakipesile, mnene, mrefu na mweusi sana....! mdomo wake unaweza kuutolea maelezo as well!

Huyu jamaa kidogo anile 6m.....! Tulimzunguka tukawafuata wanakijiji siku nyingine wakatupa issues zake, tukatoka baruti mpaka leo sijaenda huko tena!
 
Kwa kuongezea,anakula fegi,ana katumbo kidogo. jina lake la kwanza linaanza na J.Kawabamiza watu ile mbaya.

Ok tuachane na huyu mbwiga. Nadhani tumekata issue vya kutosha,unaonaje tukakunja jamvi hili la mitiki na turudi kwenu kule IR nako tukate issue mpaka basi. Kwa kuwa unaweza kunipa e mail yako ili mambo mengine yaendelee huko,ni muhimu kuwapisha wengine pia.

Kama unataka tuendelee huko kwenu IR sema.
 
Kwa kuongezea,anakula fegi,ana katumbo kidogo. jina lake la kwanza linaanza na J.Kawabamiza watu ile mbaya.

Ok tuachane na huyu mbwiga. Nadhani tumekata issue vya kutosha,unaonaje tukakunja jamvi hili la mitiki na turudi kwenu kule IR nako tukate issue mpaka basi. Kwa kuwa unaweza kunipa e mail yako ili mambo mengine yaendelee huko,ni muhimu kuwapisha wengine pia.

Kama unataka tuendelee huko kwenu IR sema.

Dah mkuu ndo huyo huyo....yes! Je...n ndo huyo huyo jamaaa...tapeli kichizi!

Don't worry mkuu hizi issues si personal sana believe me members wengi wanapata elimu hapa!

Back to IR....kule nafikiri dili la miti ni Pines, milingoti na mibani......experience ikoje huko mkuu?
 
Uzuri wa IR ni huu,ardhi ipo,mvua zinanyesha sana,barabara zipo,wahehe wanaogopa kuiba cha mtu,wahehe hawabagui mgeni. Wewe fanya kilichokupeleka kwa utaratibu basi,halafu unaambiwa karibu tena. Wasichotaka, usiwadharau tu basi. Kazi wanafanya kwa kiwango cha kuridhisha ila baadhi ya vijiji tutapeli tumeingia.

Milingoti hasa Saligna na grandis,ina kuwa haraka na ni multipurpose yaani waweza kuuza kama nguzo za umeme,au boriti za kawaida au ukachana mbao.Wewe ukiwa na milioni moja inatosha kununua eka kumi na kupanda miche 6000 ya milingoti/pines ya mbao,kisha unaondoka kurudi zako mjini. Unakwenda huko june kuweka fireline na kurudi tena mjini. Baada ya miaka mitatu unaprun miti yako. Kwa hiyo mwendo ni huo.

Mimi na vijana wenzangu tumeunganisha nguvu na kununua eneo kubwa,tunaotesha wenyewe miche ya pines/mlingoti na kupanda ktk plots zetu. Mwaka huu tumepanda miti laki tatu kwa pamoja tuko sita tu. Ila mpaka sasa vijana waliopanda miti eneo lile tuko 24 hivi. Msimu ujao tutakuwa kama 30 jumla.

Wenzetu walikwama msimu huu kwa sababu mbalimbali. Tuna jirani mmoja kutoka Kenya yeye peke yake amepanda milingoti milioni nne. Yeye ardhi kapewa na serikali yetu tukufu. Usijali ndo hali halisi. Mmalawi mmoja kajimegea eka 1000 na amepanda miti.
 
"
Ndugu yangu ni PM, biashara ziko nyingi sana,huo mtaji ni mkubwa sana. Barclays walisaidia watu sana na wana jina kwa sababu ya kutoa hioz million kumi kumi.
Katabazi.


Kwa nini aku PM mkuu? Ukiweka hapa mawazo yako unasaidia wengi! Mwaga hapa mchango wako!
 
Last edited:
Uzuri wa IR ni huu,ardhi ipo,mvua zinanyesha sana,barabara zipo,wahehe wanaogopa kuiba cha mtu,wahehe hawabagui mgeni. Wewe fanya kilichokupeleka kwa utaratibu basi,halafu unaambiwa karibu tena. Wasichotaka, usiwadharau tu basi. Kazi wanafanya kwa kiwango cha kuridhisha ila baadhi ya vijiji tutapeli tumeingia.

Milingoti hasa Saligna na grandis,ina kuwa haraka na ni multipurpose yaani waweza kuuza kama nguzo za umeme,au boriti za kawaida au ukachana mbao.Wewe ukiwa na milioni moja inatosha kununua eka kumi na kupanda miche 6000 ya milingoti/pines ya mbao,kisha unaondoka kurudi zako mjini. Unakwenda huko june kuweka fireline na kurudi tena mjini. Baada ya miaka mitatu unaprun miti yako. Kwa hiyo mwendo ni huo.

Mimi na vijana wenzangu tumeunganisha nguvu na kununua eneo kubwa,tunaotesha wenyewe miche ya pines/mlingoti na kupanda ktk plots zetu. Mwaka huu tumepanda miti laki tatu kwa pamoja tuko sita tu. Ila mpaka sasa vijana waliopanda miti eneo lile tuko 24 hivi. Msimu ujao tutakuwa kama 30 jumla.

Wenzetu walikwama msimu huu kwa sababu mbalimbali. Tuna jirani mmoja kutoka Kenya yeye peke yake amepanda milingoti milioni nne. Yeye ardhi kapewa na serikali yetu tukufu. Usijali ndo hali halisi. Mmalawi mmoja kajimegea eka 1000 na amepanda miti.

eee mungu wangu eeh,..ama tumelala usingizi!

Mkuu Malila unatoa darasa la nguvu hapa, naamini wengi wananufaika, hasa ukitilia maanani mtaji wa yote hayo ni pesa kidogo tu,.... kutengeneza milioni sio big deal kwa sasa... kuwekeza na dedication ndio shughuli!

Mtu akishakunja kamilioni kake, utamuona mkanda nje anatesa kwenye vi groceries siku mbili tatu, ikiisha anarudia pale pale juu ya mawe! Tuamkeni badala ya kunyoosha tu vidole mafisadi haoo, mara wakenya wanatuibia ardhi,... ujasiriamali na uwekezaji ni muhimu!

Darasa na liendelee 🙂
 
Mbu,
Sikuwa nimeona hiyo signature yako. 🙂
Masanilo ni member JF kama sijakosea?
 
Malila hongera sana, unaonekana ni mjasiriamali mzuri na mwenye kupenda wenzako nao wafanikiwe, MOLA AKUZIDISHIE ZAIDI. Kweli shule inayotoka hapa inaleta mvuto kujaribu. Hongera Mbu kwa kuanzisha hili, na pia hongera kwa wachangiaji wengine pia, Next Level uko juu naona soon utamsaidia Yo Yo manake aliwahi uliza "jinsi ya kuwa tajiri".
 
Uzuri wa IR ni huu,ardhi ipo,mvua zinanyesha sana,barabara zipo,wahehe wanaogopa kuiba cha mtu,wahehe hawabagui mgeni. Wewe fanya kilichokupeleka kwa utaratibu basi,halafu unaambiwa karibu tena. Wasichotaka, usiwadharau tu basi. Kazi wanafanya kwa kiwango cha kuridhisha ila baadhi ya vijiji tutapeli tumeingia.

Milingoti hasa Saligna na grandis,ina kuwa haraka na ni multipurpose yaani waweza kuuza kama nguzo za umeme,au boriti za kawaida au ukachana mbao.Wewe ukiwa na milioni moja inatosha kununua eka kumi na kupanda miche 6000 ya milingoti/pines ya mbao,kisha unaondoka kurudi zako mjini. Unakwenda huko june kuweka fireline na kurudi tena mjini. Baada ya miaka mitatu unaprun miti yako. Kwa hiyo mwendo ni huo.

Mimi na vijana wenzangu tumeunganisha nguvu na kununua eneo kubwa,tunaotesha wenyewe miche ya pines/mlingoti na kupanda ktk plots zetu. Mwaka huu tumepanda miti laki tatu kwa pamoja tuko sita tu. Ila mpaka sasa vijana waliopanda miti eneo lile tuko 24 hivi. Msimu ujao tutakuwa kama 30 jumla.

Wenzetu walikwama msimu huu kwa sababu mbalimbali. Tuna jirani mmoja kutoka Kenya yeye peke yake amepanda milingoti milioni nne. Yeye ardhi kapewa na serikali yetu tukufu. Usijali ndo hali halisi. Mmalawi mmoja kajimegea eka 1000 na amepanda miti.

Malila, IR mko eneo gani hasa? Mi nakufahamu sana Njombe....sasa kule now kuna wajanja wengi sana wameshapanda miti na maeneo mengi yanatumika kwa kilimo cha viazi na mahindi!

Sasa hayo maeneo huwa yanaandaliwa muda gani? December? Je, huwa mnatumia workers wepi kuchimba mashimo....wanafunzi, au vipi na mnaotesha miche hukohuko IR?

BWT....Umeona reaction ya members hapa?......ngoja tuendelee kukata issues hapahapa!
 
Back
Top Bottom