Deogratius2050
Member
- Nov 19, 2017
- 26
- 14
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha ulofa, maisha ni mafupi,weka heshima Bar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha ulofa, maisha ni mafupi,weka heshima Bar
Kiongozi kama kulivyo na wakaguzi wa NDANI na NJE ... Pana washauri wa NDANI na NJE pia ....Siyo mtu mzuri huyu.
Kiongozi kama kulivyo na wakaguzi wa NDANI na NJE ... Pana washauri wa NDANI na NJE pia ....
Mkuu hili jibu limezoeleka sana humu JF, lakini tumekariri tuu sio kila wakati linafanya kazi.fanya biashara hiyo hiyo iliyokufanya upate milioni 10
Asee...Siyo mtu mzuri huyu.
[emoji23] [emoji23]Ahahhaha
Unataka uwe Wema sepetu sio?
Wahi fursa, maisha ndio haya bossMkuu nimekuPM
endelea na hiyo biashara iliyokupatia hicho kiasHabari ndugu zangu. Mimi ni kijana mwenye miaka 26 sasa nimepambana kutafuta mtaji wa kuanzisha biashara nzuri itakayo nifanya niendelee zaidi kiuchumi na kijamii
Naombeni mawazo yenu ni biashara gani nzuri naweza kuifanya na huu mtaji wa milion 10
Kusema kweli kwa upande wangu ninapenda sana kufanya biashara ya kilimo au kufungua kiwanda kidogo cha kusaga na kukoboa mahindi
Ila nadhani humu ndano kuna watu wenye uelewa mkubwa zaidi yangu na wanaweza kunipa mbinu mbalimbali na maarifa ya kukuza haka kamtajo kangu
Nawakaribisha kwa mawazo yenu.
mtafte Neema wa PPFHabari ndugu zangu. Mimi ni kijana mwenye miaka 26 sasa nimepambana kutafuta mtaji wa kuanzisha biashara nzuri itakayo nifanya niendelee zaidi kiuchumi na kijamii
Naombeni mawazo yenu ni biashara gani nzuri naweza kuifanya na huu mtaji wa milion 10
Kusema kweli kwa upande wangu ninapenda sana kufanya biashara ya kilimo au kufungua kiwanda kidogo cha kusaga na kukoboa mahindi
Ila nadhani humu ndano kuna watu wenye uelewa mkubwa zaidi yangu na wanaweza kunipa mbinu mbalimbali na maarifa ya kukuza haka kamtajo kangu
Nawakaribisha kwa mawazo yenu.
Senki yuuFanya kile roho yako inapenda itapendeza zaidi.