Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

kila biashara uliyofikiria kuifanya itakulipa kama utapata uzoefu wakuiendesha ni vizuri kuanza na 40% ya mtaji huo uliopanga kufanyia biashara fursa ya masoko itakavyozidi kuongezeka nawe ndio utakuwa ukiongeza mtaji
 
kila biashara uliyofikiria kuifanya itakulipa kama utapata uzoefu wakuiendesha ni vizuri kuanza na 40% ya mtaji huo uliopanga kufanyia biashara fursa ya masoko itakavyozidi kuongezeka nawe ndio utakuwa ukiongeza mtaji
 
Kanunue hisa za crdb ambazo zinauzwa at shs 150 per share. 10 m itakupatia shares 66,666. Hii maana yake nini. Kama ungepeleka DECI labda ungevuna 20m baada ya miezi 4? Sijui formula yao.

Lakini ukinunua shares hizi crdb zikipelekwa kwenye soko la hisa unaweza ukaziuza zote halafu ukavuna zaidi ya asimia 100. Na hii ni baada sana sana ya miezi miwili.

Kwa hiyo ukipata 20m zako iko mbaya gani/ U can decide kuziweka kwenye Fixed deposit ya hao crdb halafu ukaitumia hiyo kuombea mkopo. But this depends very much if u have a steady monthly income.

Huo ni ushauri wangu wa bure
DECI SIWAAMINI
 
Wakuu Kama kichwa kinavyojieleza naomba kufahamishwa kwa mtaji wa milioni 6 naweza kufanya aina gani ya kilimo kitakachonipatia faida
Hata ikiwezekana kuuza mazao nchi za ulaya
Natanguliza shukrani zangu kwenu wanajukwaa
Asanteni
 
Wakuu Kama kichwa kinavyojieleza naomba kufahamishwa kwa mtaji wa milioni 6 naweza kufanya aina gani ya kilimo kitakachonipatia faida
Hata ikiwezekana kuuza mazao nchi za ulaya
Natanguliza shukrani zangu kwenu wanajukwaa
Asanteni
Mkuu kuuza Mazao nje sio swala la kitoto unless unazungumzia nje kama Zanzbari au hapo Kenya.

Export inahitaji uwekezaji mkubwa sana tena mno.

Tembelea watu/wakulima.wanao export ndo ujue kwamba swala la export linahitaji mtaji na muda.

Sasa usikute unazungumzia kilimo cha simu then unawaza ku export kwa kulima kwa simu.

MWISHO.

Kilimo ni Passion na sio show, usiingie kwenye kilimo kama sip Passion yako. Usiingie tu kwa sababu kuna washikaji wako wanalima sasa na wewe unataka ulime.

Lima kwa sababu unapenda sana kilimo
 
Ufugaji samaki ndo utakutoa mkuu
Utamtoa kivipi? As business kinacho angaliwa ni faida. Hata kama unalima mchicha mwisho wa siku ukiuza mchicha na Mapato yakawa makubwa kuliko matumizi basi ni faida na ni progress kubwa sana.

Shida sisi tumejikita kwenye mentality za inalipa.

Hii neno inalipa ndo lina cost watu mwisho wa siku pale wanapo kuwa hawaamini macho na masikio yao
 
Utamtoa kivipi? As business kinacho angaliwa ni faida. Hata kama unalima mchicha mwisho wa siku ukiuza mchicha na Mapato yakawa makubwa kuliko matumizi basi ni faida na ni progress kubwa sana.

Shida sisi tumejikita kwenye mentality za inalipa.

Hii neno inalipa ndo lina cost watu mwisho wa siku pale wanapo kuwa hawaamini macho na masikio yao
Braza vp? Nishamwambia afuge samaki, akihitaji ufafanuzi zaidi wa namna gani itakuwa biashara endelevu yenye tija na faida kwake ntamwambia. Kusema itamtoa ni kweli kwani kila mtu anafanya biashara ili apate faida, au ulitaka nimwambieje kwa mfano!?
 
Mkuu kuuza Mazao nje sio swala la kitoto unless unazungumzia nje kama Zanzbari au hapo Kenya.

Export inahitaji uwekezaji mkubwa sana tena mno.

Tembelea watu/wakulima.wanao export ndo ujue kwamba swala la export linahitaji mtaji na muda.

Sasa usikute unazungumzia kilimo cha simu then unawaza ku export kwa kulima kwa simu.

MWISHO.

Kilimo ni Passion na sio show, usiingie kwenye kilimo kama sip Passion yako. Usiingie tu kwa sababu kuna washikaji wako wanalima sasa na wewe unataka ulime.

Lima kwa sababu unapenda sana kilimo
Nimekuelewa mkuu na ninaitaji kufanya ilo jambo kwa umakini kwani ninautayari ndiyo maana ninaitaji mawazo na ushauri
Kutoka kwenu wadau
Pia itapendeza kama mtaniambia aina ya mazao na mtaji unao itajika wakuu nitashukuru sana
 
Habari wakuu.
Kwa wale wanaohitaji miradi ambayo hutumii nguvu kubwa wala muda mwingi kuisimamia mradi huu ni sahihi kwako.
Tumekuchagulia suzuki cary ya mwaka 2000 imara yenye sifa zifuatazo:
-Four wheel driver
-Air condition
-Petrol
-Imelipiwa kila kitu
Endapo mtakubaliana na dereva akuletee kwa siku tzs 25,000/- kwa siku badala ya tzs 30,000/-(Kwa masharti kuwa service ni juu yake), ,hii ina maana utavuna tzs 750,000/- kwa mwezi ,sawa na tzs 9,000,000 kwa mwaka .
Hii ina maana kuwa kila baada ya mwaka unaweza kuongeza asset nyingine.

Tupo Karume , kwa mahitaji ya gari hili au ushauri bure wa miradi

Piga:0713-039875
 

Attachments

  • kirikuu.jpg
    kirikuu.jpg
    26.6 KB · Views: 107
Back
Top Bottom