Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kulikoni tena mkuu, ebu niambie ninakwama wapi....[emoji30][emoji30][emoji30][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikoni tena mkuu, ebu niambie ninakwama wapi....[emoji30][emoji30][emoji30][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu, amini ninakuambia hii biashara inalipaMmh mkuu ya kweli hayo?
PESA IKIPOTEA UNAENDELEA KUKATWA WAKATI ILITAKIWA KUINGIZA ILI MSHAHARA UBAKI BILA KUTUMIKA ULE FAIDA ITOKANAYO NA UWEKEZAJI WA MKOPO.[]LOAN AGAINST SALARY UKICHEZEA UMELIWA
Mkuu fafanua hapa, nipe ushauri
Mkuu sio hela ya mkopo, ni kudundulizaPESA IKIPOTEA UNAENDELEA KUKATWA WAKATI ILITAKIWA KUINGIZA ILI MSHAHARA UBAKI BILA KUTUMIKA ULE FAIDA ITOKANAYO NA UWEKEZAJI WA MKOPO.
Mkuu hii biashara mimi nimeifanya pale Swahili na Narung'ombe ndio maana nimeguna, ila huwezi jua mana hizi biashara kila mtu anafanya kwa njia anayoijua yeyeMkuu, amini ninakuambia hii biashara inalipa
Nikweli chiefMkuu hii biashara mimi nimeifanya pale Swahili na Narung'ombe ndio maana nimeguna, ila huwezi jua mana hizi biashara kila mtu anafanya kwa njia anayoijua yeye
Teh teh teh... Mbona unamtisha mkuu? Siyo kila biashara inaangukaBiashara kwa mazingira ya sasa baada ya mwaka umefilisika.
nitafaidikajeNipe hiyo idea, funguka ndugu yangu
Do u wana be a partner, plz send pm for more discussionnitafaidikaje
Kama una hekima, hii ni point ya msingi sana katika maisha. Litazame katika jicho la tatu hutajuta maishani!!LOAN AGAINST SALARY UKICHEZEA UMELIWA
ULIPASWA KUWA NA BUSINESS IDEA KABLA YA KUTAFUTA MTAJI.
NDOMANA WASHINDI WENGI WA:-
BBA
BSS
MISS TZ
SPORTPESA
TATUMZUKA
BIKO
N.K
HUISHIA KUSIKOJULIKANA BILA KUACHA ALAMA YOYOTE
UMEELEWA POINT YANGU AU WE UNAJICHO LA 3 TU??Kama una hekima, hii ni point ya msingi sana katika maisha. Litazame katika jicho la tatu hutajuta maishani!!
Ukikopa bila plan ya kufanyia utaishia kulipa kwa mshahara wako, yaani hasara.[]LOAN AGAINST SALARY UKICHEZEA UMELIWA
Mkuu fafanua hapa, nipe ushauri
Kwa wiki kiasi ganiUshauri.
Kwa sababu wewe ni muajiriwa hivyo muda wa kukaa kwenye biashara yako sio mwingi/hakuna basi suluhu ya haraka kwangu ni uba/taxify. Ni rahisi usimamizi wake, hesabu inaeleweka ila kazi ni kumpata dereva mchangamfu.
Ukiwa na IST au corolla za cc isiyozidi 1500.
Pesa isiyo na usumbufu kwa week.
Mkuu point yako nimeielewa sana, lakini hicho ni cha kujifunza!UMEELEWA POINT YANGU AU WE UNAJICHO LA 3 TU??
Hii niliapa sitokuja kufanya tena, nilifanya 2013/14boda ndo rahisi japo wanasumbua.