Tafiti sekta ya madini, fanya kununua na kuuza madini kama ya vito au dhahabu.
Simple projection
dhahabu unaweza kupata kwa gramu 50,000-60,000 na unaweza pata faida ya minimum 10,000 kwa kila gram. hivyo kwa mil.10 unapata faida max. mil.2 kwa kila mzunguko.
kwa biashara ya vito unaweza kujaribu madini kama rhodolite na red garnet ambayo yana soko sana arusha unanunua gramu moja kwa max. 5,000 kwa jiwe la gramu 5 na zaidi na wewe unauza mpaka 50,000 kwa gramu kwa jiwe lililozuri ni biashara inayolipa sana.
ila kumbuka ulingo wa madini una pesa nyingi sana hivyo utapeli ni mwingi yakupasa kuwa mwangalifu sana all in all AIM HIGHER AND REACH FOR THE SKIES.