Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

nimepata zangu milioni 10 nakopesha wafanyakazi wanaocheleweshewa mishahara na wanafunzi wanaocheleweshewa boom namba zangu ni pm
 
nimepata zangu milioni 10 nakopesha wafanyakazi wanaocheleweshewa mishahara na wanafunzi wanaocheleweshewa boom namba zangu ni pm

Changamoto zikoje mkuu? Vipi wateja wanaweka bond kitu gani? Security ya hela zako ikoje?
 
Changamoto zikoje mkuu? Vipi wateja wanaweka bond kitu gani? Security ya hela zako ikoje?
changamoto so far labda ni ku expand kupata wigo mkubwa zaidi wa wateja, kwani huwa nawakopesha wale ninaowajua tu, na siku wanayolipwa mshahara naijua hivyo nawabana wananilipa, either wanalipa principal+interest au wanalipa intetest tu kama mambo yao bado hayajatengamaa, interest sio kubwa ni 5% kwa siku 30, nikikopesha 100,000 nalipwa 5,000 baada ya siku 30 kama interest, nikopesha 10,000,000 yote napata 500,000 baada ya siku 30 kama interest
 
changamoto so far labda ni ku expand kupata wigo mkubwa zaidi wa wateja, kwani huwa nawakopesha wale ninaowajua tu, na siku wanayolipwa mshahara naijua hivyo nawabana wananilipa, either wanalipa principal+interest au wanalipa intetest tu kama mambo yao bado hayajatengamaa, interest sio kubwa ni 5% kwa siku 30, nikikopesha 100,000 nalipwa 5,000 baada ya siku 30 kama interest, nikopesha 10,000,000 yote napata 500,000 baada ya siku 30 kama interest

Itakuwa biashara murua hii kama wanalipa kwa wakati.

Kila la kheri mkuu"
 
nataka nifanye biashara,nipo dar,biashara gani naweza kufanya?
 
Do analysis yourself to see costs & abnormal profits b4 invite advisers .hayo my opinion ushirombo
 
Kwa mfano hizo hela zimeibiwa kabla haujapewa ushauri wa mfano wako?
 
Yes yes uko sahihi at least kwenye dala dala na ndio maana nikamwambia at least atafute Ki Suzuki Carry maana kwa 10M asingeweza kupata Daladala lakini nilipenda pia kumwambia anunue Daladala, niliamua kuhamia kwa daladala pia, kuna changamoto japo sio sana ukilinganisha na piki piki maana mradi wa piki piki kwa siku ni sh.7,000-8,000 kwa flat rate ya Tshs.50,000/= kwa week.

Kama ataweza aongeze milioni tano atapata daladala nzima kabisa ya kuanzia ambayo kwa siku at least atapata sh.100,000/= ila akumbuke hii laki moja sio faida na sio pesa ya kukalia Bar na kuuza JINA, ni kwajili ya matengenezo ya gari na wewe faida yako jiwekee isizidi 20,000/= kwa siku nzima
Kaka daladala faida halisi baada ya gharama zote ni ngapi daladala ya route ipi?
 
changamoto so far labda ni ku expand kupata wigo mkubwa zaidi wa wateja, kwani huwa nawakopesha wale ninaowajua tu, na siku wanayolipwa mshahara naijua hivyo nawabana wananilipa, either wanalipa principal+interest au wanalipa intetest tu kama mambo yao bado hayajatengamaa, interest sio kubwa ni 5% kwa siku 30, nikikopesha 100,000 nalipwa 5,000 baada ya siku 30 kama interest, nikopesha 10,000,000 yote napata 500,000 baada ya siku 30 kama interest

Ndugu tuelezane basi hawa wakopeshwaji wanaweka dhamana zipi against mikopo wanayo chukua?
 
A
Hahaha,nikweli mkuu.
Yaani unakuta mtu analamikaa,ukiagalia changamoto zenyewe ni zakawaida.Wakati huo huo kuna changamoto watu wanakumbana nazo ukiambiwa unaweza kusema kweli hakuna pesa rahisi na wengine hukimbia kabisaa hata kama walikuwa na pesa kidogo ya kuboost.
Ila ukiona shamba la mwenzio limependeza basi unaona kama vile limeletwa na malaika,unaweza kukuta shamba hilo unaloona limependeza,miaka miwili nyuma mwenye shamba alikula hasara kubwa kabla ya kujipanga upya.Sasa unakuta baadhi yetu tunachukulia mafanikio ya kilimo kwa kukuta shamba la mwenzio limenawiri vizuri na kuona kwamba na wewe ukianza tu inakuwa kama hivyo.
Wakulima wana siri kubwa saana,ndio maana raha ya kilimo ni kwamba ingia ucheze rhythm ya wakulima ndio utajua.Unaweza kuchukua hatua zoote lakini kikakupiga vile vile,maana dizasta nyingine za kilimo zinakuwa hazina namna wala formula.

Tena labda niwaambie kitu kimoja,mkulima wa kweli ambae Kilimo kimo kwenye dam yake na dhamira yake ya kweli,basi ni kama TEJA mla Unga au zaidi ya teja mla unga.Maana akili yake,mwenendo wake,maisha yake,yoote yanakua kikilimo kilimo tuu.Anaweza kupoteza mazao shamba lote either kwa Janga la moto au magonjwa ya mimea,lakini unamkuta amekaza,na tabasam linakujia kama vile hana shida vile au hana tatizo.Ila moyo wa Ujasiri wa dhamira ndio unampa faraja.

Sasa kutana na yule anaelima kwa kuona shamba la mwenzie na kutaka na yeye afanikiwe kaka mwenzie kirahisi.Akipata tatizo tuu,basi huwezi amini anachanganyikiwa kabisa.Na anaweza kukitukana kilimo na wakulima wote.
Na wengine huishia kusema kwamba Kazi ya Kilimo cha mashamba lazima uwe mshirikina ili shamba lako lipate mazao mazuri.Yaani ndio akili ya wakulima waigaji.Na unaweza kukuta anapolima yupo peke yake hakuna mwingine Karibu.

Na kama mkulima wa dhati na umeamua kujiripua,basi amini usiamini,kama tatizo likitokea basi usitafute mtu wakukufariji ambae sio mkulima,atakupoteza.
Mkulima hufarijiwa na mkulima mwenzie.Namkulima akipatwa na Tatizo basi wa kwanza kumfikishia ni Mkulima mwenzie.

Sasa unakuta mtu amelima then ikitokea tatizo au hasara anamtafuta mtu ambae mambo hayo sio yake ilimradi tu yeye anaona ndio wa karibu yake,we unategemea nini zaidi ya kwamba atakuambia oyaa we umeona nani kalima hapa Tanzania amefanikiwa,weee vipi acha ujinga wako,we huoni watu wanalima na hawana pa kuuzia,we mjinga sana,nilikuambia mie,na nilikuwa nakuangaliaa unavyohangaika na kulima,watu wanalima kijijini hukoo na sio mjini weee vipi,mjini biashara kijijini kulima,we nimekuambia fungua duka la sim tupige hela,umekalia kilimo.Na upuuzi mwingine teleeee.Sasa na wewe ukiambiwa hivyo,basi ukimkuta mkulima mwenzio amakumbana janga kama lako basi unamwambie the same story za kejeli,mwisho wa siku inakuwa kama vile chain fulani,ya kwamba mie nililima lakini kilimo hakina tija,ni hasara,unapoteza muda na mambo meengi,wakati ukweli ni kwamba Umekimbia kilimo na changamoto zake.

Sasa lazima pia uangalia na watu gani wanaokuzunguuka.
Huwezi kuwa na dhamira ya kulima au kufanya kilimo then ukataka ushauri kwa mtu asie mkulima.Au mtu ambae anasikia tu watu wanalima.Lazima utapata ushauri sio.

Na pindi linapotokea tatizo au hasara yoyote kwenye Kilimo,basi kuwa mbali sana na familia na ndugu na jamaa katika taarifa au tathmini ya kilimo chako.Nalisema hilo kwa kuwa nimewahi kuliona kwa Mwenzangu.Yaani alilima kwa kukodi sehem,basi alipopata tatizo ndugu zake ndio walikuwa wakwanza kumlaumu na kumkatisha tamaa kwa maneno ya kejeli,maana wakati analima na alipokuwa amefanya maamuzi hayo,walitokea ndugu zake waliotaka walipiwe ada za vyuo vya ufundi,wengine walitaka mitaji,na wengine kesi za ajabu ilimradi walijua ndugu yao alipata hela ya Udalali wa kiwanja.
Basi alipopatwa na tatizo la ng`ombe kukata njia na kufamia shamba,basi huwezi amini walishangilia ile mbaya.Yaani jamaa unamuonea huruma,maana mie nililima Pilipili na yeye alilima Nyanya.
Maana mbaya zaidi hakujua ni mifugo ya nani,maana hakukuwa mtu shambani muda ule.Sasa kumbe jamaa mmmili wa ng`omber wale alikuwa mstaarabu,kama wiki mbili hivi wakulima wenzie tukajiunga na kufanya tathmini kujua nani alifanya hivyo.Na tukaweza kumjua,na alikuwa mzee wa Kiarabu na alilipa pesa ya mazao kamili.Na wakati huo tulikuwa tumechangishana pesa kama ujirani mwema kama majirani ili alime tena.
Baada ya kumpata mmiliki wa mifugo hiyo,Basi jamaa hajaamini kama anaweza kulipwa Nyanya za mwezi na nusu kwa pesa kamili.Tumekuwa nae kama ndugu.Na anasema kwamba haamini kama ndugu zake walikuwa na kinyongo namna ile ila baada ya tukio ndio alijua.
Na alipotata hizo pesa alikaa kimyaa,wao wakaona amefulia,kumbe shamba tulimchagia upya na pesa za kuliwa mazao alilipwa pesa nzuri kweli.Na alichofanya ni kwamba alikodi shamba sehem nyingine na ni mkulima wa level nzuri sana kwa ukanda wetu ule,na shamba hili la ziada alilokodi hakuna ndugu hata mmoja analolijua zaidi ya sie,jamaa yeye ameenda mbali zaidi maana hata mkewe hajui,aisee ana hasira kweli kwa yaliyomkuta.

Sasa rafiki wa Mkulima ni mkulima mwenzie,ni bora rafiki mkulima mwenye roho mbaya kuliko ndugu ambae sio mkulima mwenye roho nzuri,maana hawa ni rahisi sana kubadilika muda wowote na kukatishana tamaa pale unapopatwa na tatizo.Lakini mkulima wa kweli atakuwa na roho mbaya lakini atakupa njia tu,then mbele utajiongoza mwenye.

Ujumbe kwa Vijana wa Kiume,Inasikitisha sana wanawake ndio wanoongoza kuwa na roho ngumu,na masugu balaa kwenye kilimo hasa ufugaji.Idadi yao inakuwa kwa kasi saana na katika kila kina mama wastan 10 ambao ni wakulima ni wawili tu ndio utakuta wamekimbia changamoto za kilimo au ufugaji,ila kwa wavulana kati 10 unaweza kukuta 7 au sita wamekimbia kilimo au ufugaji hicho.
Na hii inaonekana kwamba kina mama wanaamini kwamba kesho nayo ni siku,mie nikiona sehem la Shamba au mifugo yupo mwanamama,basi huwa hata siulizi najua hapo huyo ni milionea mtarajiwa.Yaani masugu sana aisee.Na pia wepesi sana kufuata ushauri na wengi wa kinamama sio watu wa kubahatisha ndio maana wengi wanafanikiwa.

MUNGU ULIEHAI,UTUPE NA UTUJAALIE NA SIE TUNAOTAKA KULIMA ZAIDI NA TUNAOTAKA KUANZA KILIMO, MOYO WA UVUMILIVU WA CHANGAMOTO ZA KILIMO,NA PIA MUNGU UTUPE MAAMUZI SAHIHI YA AINA YA KILIMO KULINGANA NA DHAMIRA HUSIKA.UTUONGOZE KATIKA UAMINIFU KWAKO NA KUAMINI KWAMBA WEWE NDIO MSIMAMIZI WA KILA JAMBO TUNALOAMUA NA NDIO MUONGOZAJI WAKILA JAMBO LINALOKUWA.NA PIA NDIO MTATUZI WA KILA TATIZO AU CHANGAMOTO INAYOTOKEA KWA KUTOA NJIA SAHIHI YA UTATUZI NA FARAJA,TUNAKUOMBA UTUKINGE NA KUKUKOSEA KWA KULAUMU MATOKEO HASI KATIKA MAISHA,ILA TUELEKEZE KATIKA IMANI KWAMBA TUTAMBUE HUO WOTE NI UFALME WAKO KATIKA MAJARIBU,UTUJAALIE TUSHINDE MAJARIBU BILA KUKUKOSEA KWA JINA LAKO NA UTUKUFU WAKO WA MILELE."AMEEN"
Hahaha,nikweli mkuu.
Yaani unakuta mtu analamikaa,ukiagalia changamoto zenyewe ni zakawaida.Wakati huo huo kuna changamoto watu wanakumbana nazo ukiambiwa unaweza kusema kweli hakuna pesa rahisi na wengine hukimbia kabisaa hata kama walikuwa na pesa kidogo ya kuboost.
Ila ukiona shamba la mwenzio limependeza basi unaona kama vile limeletwa na malaika,unaweza kukuta shamba hilo unaloona limependeza,miaka miwili nyuma mwenye shamba alikula hasara kubwa kabla ya kujipanga upya.Sasa unakuta baadhi yetu tunachukulia mafanikio ya kilimo kwa kukuta shamba la mwenzio limenawiri vizuri na kuona kwamba na wewe ukianza tu inakuwa kama hivyo.
Wakulima wana siri kubwa saana,ndio maana raha ya kilimo ni kwamba ingia ucheze rhythm ya wakulima ndio utajua.Unaweza kuchukua hatua zoote lakini kikakupiga vile vile,maana dizasta nyingine za kilimo zinakuwa hazina namna wala formula.

Tena labda niwaambie kitu kimoja,mkulima wa kweli ambae Kilimo kimo kwenye dam yake na dhamira yake ya kweli,basi ni kama TEJA mla Unga au zaidi ya teja mla unga.Maana akili yake,mwenendo wake,maisha yake,yoote yanakua kikilimo kilimo tuu.Anaweza kupoteza mazao shamba lote either kwa Janga la moto au magonjwa ya mimea,lakini unamkuta amekaza,na tabasam linakujia kama vile hana shida vile au hana tatizo.Ila moyo wa Ujasiri wa dhamira ndio unampa faraja.

Sasa kutana na yule anaelima kwa kuona shamba la mwenzie na kutaka na yeye afanikiwe kaka mwenzie kirahisi.Akipata tatizo tuu,basi huwezi amini anachanganyikiwa kabisa.Na anaweza kukitukana kilimo na wakulima wote.
Na wengine huishia kusema kwamba Kazi ya Kilimo cha mashamba lazima uwe mshirikina ili shamba lako lipate mazao mazuri.Yaani ndio akili ya wakulima waigaji.Na unaweza kukuta anapolima yupo peke yake hakuna mwingine Karibu.

Na kama mkulima wa dhati na umeamua kujiripua,basi amini usiamini,kama tatizo likitokea basi usitafute mtu wakukufariji ambae sio mkulima,atakupoteza.
Mkulima hufarijiwa na mkulima mwenzie.Namkulima akipatwa na Tatizo basi wa kwanza kumfikishia ni Mkulima mwenzie.

Sasa unakuta mtu amelima then ikitokea tatizo au hasara anamtafuta mtu ambae mambo hayo sio yake ilimradi tu yeye anaona ndio wa karibu yake,we unategemea nini zaidi ya kwamba atakuambia oyaa we umeona nani kalima hapa Tanzania amefanikiwa,weee vipi acha ujinga wako,we huoni watu wanalima na hawana pa kuuzia,we mjinga sana,nilikuambia mie,na nilikuwa nakuangaliaa unavyohangaika na kulima,watu wanalima kijijini hukoo na sio mjini weee vipi,mjini biashara kijijini kulima,we nimekuambia fungua duka la sim tupige hela,umekalia kilimo.Na upuuzi mwingine teleeee.Sasa na wewe ukiambiwa hivyo,basi ukimkuta mkulima mwenzio amakumbana janga kama lako basi unamwambie the same story za kejeli,mwisho wa siku inakuwa kama vile chain fulani,ya kwamba mie nililima lakini kilimo hakina tija,ni hasara,unapoteza muda na mambo meengi,wakati ukweli ni kwamba Umekimbia kilimo na changamoto zake.

Sasa lazima pia uangalia na watu gani wanaokuzunguuka.
Huwezi kuwa na dhamira ya kulima au kufanya kilimo then ukataka ushauri kwa mtu asie mkulima.Au mtu ambae anasikia tu watu wanalima.Lazima utapata ushauri sio.

Na pindi linapotokea tatizo au hasara yoyote kwenye Kilimo,basi kuwa mbali sana na familia na ndugu na jamaa katika taarifa au tathmini ya kilimo chako.Nalisema hilo kwa kuwa nimewahi kuliona kwa Mwenzangu.Yaani alilima kwa kukodi sehem,basi alipopata tatizo ndugu zake ndio walikuwa wakwanza kumlaumu na kumkatisha tamaa kwa maneno ya kejeli,maana wakati analima na alipokuwa amefanya maamuzi hayo,walitokea ndugu zake waliotaka walipiwe ada za vyuo vya ufundi,wengine walitaka mitaji,na wengine kesi za ajabu ilimradi walijua ndugu yao alipata hela ya Udalali wa kiwanja.
Basi alipopatwa na tatizo la ng`ombe kukata njia na kufamia shamba,basi huwezi amini walishangilia ile mbaya.Yaani jamaa unamuonea huruma,maana mie nililima Pilipili na yeye alilima Nyanya.
Maana mbaya zaidi hakujua ni mifugo ya nani,maana hakukuwa mtu shambani muda ule.Sasa kumbe jamaa mmmili wa ng`omber wale alikuwa mstaarabu,kama wiki mbili hivi wakulima wenzie tukajiunga na kufanya tathmini kujua nani alifanya hivyo.Na tukaweza kumjua,na alikuwa mzee wa Kiarabu na alilipa pesa ya mazao kamili.Na wakati huo tulikuwa tumechangishana pesa kama ujirani mwema kama majirani ili alime tena.
Baada ya kumpata mmiliki wa mifugo hiyo,Basi jamaa hajaamini kama anaweza kulipwa Nyanya za mwezi na nusu kwa pesa kamili.Tumekuwa nae kama ndugu.Na anasema kwamba haamini kama ndugu zake walikuwa na kinyongo namna ile ila baada ya tukio ndio alijua.
Na alipotata hizo pesa alikaa kimyaa,wao wakaona amefulia,kumbe shamba tulimchagia upya na pesa za kuliwa mazao alilipwa pesa nzuri kweli.Na alichofanya ni kwamba alikodi shamba sehem nyingine na ni mkulima wa level nzuri sana kwa ukanda wetu ule,na shamba hili la ziada alilokodi hakuna ndugu hata mmoja analolijua zaidi ya sie,jamaa yeye ameenda mbali zaidi maana hata mkewe hajui,aisee ana hasira kweli kwa yaliyomkuta.

Sasa rafiki wa Mkulima ni mkulima mwenzie,ni bora rafiki mkulima mwenye roho mbaya kuliko ndugu ambae sio mkulima mwenye roho nzuri,maana hawa ni rahisi sana kubadilika muda wowote na kukatishana tamaa pale unapopatwa na tatizo.Lakini mkulima wa kweli atakuwa na roho mbaya lakini atakupa njia tu,then mbele utajiongoza mwenye.

Ujumbe kwa Vijana wa Kiume,Inasikitisha sana wanawake ndio wanoongoza kuwa na roho ngumu,na masugu balaa kwenye kilimo hasa ufugaji.Idadi yao inakuwa kwa kasi saana na katika kila kina mama wastan 10 ambao ni wakulima ni wawili tu ndio utakuta wamekimbia changamoto za kilimo au ufugaji,ila kwa wavulana kati 10 unaweza kukuta 7 au sita wamekimbia kilimo au ufugaji hicho.
Na hii inaonekana kwamba kina mama wanaamini kwamba kesho nayo ni siku,mie nikiona sehem la Shamba au mifugo yupo mwanamama,basi huwa hata siulizi najua hapo huyo ni milionea mtarajiwa.Yaani masugu sana aisee.Na pia wepesi sana kufuata ushauri na wengi wa kinamama sio watu wa kubahatisha ndio maana wengi wanafanikiwa.

MUNGU ULIEHAI,UTUPE NA UTUJAALIE NA SIE TUNAOTAKA KULIMA ZAIDI NA TUNAOTAKA KUANZA KILIMO, MOYO WA UVUMILIVU WA CHANGAMOTO ZA KILIMO,NA PIA MUNGU UTUPE MAAMUZI SAHIHI YA AINA YA KILIMO KULINGANA NA DHAMIRA HUSIKA.UTUONGOZE KATIKA UAMINIFU KWAKO NA KUAMINI KWAMBA WEWE NDIO MSIMAMIZI WA KILA JAMBO TUNALOAMUA NA NDIO MUONGOZAJI WAKILA JAMBO LINALOKUWA.NA PIA NDIO MTATUZI WA KILA TATIZO AU CHANGAMOTO INAYOTOKEA KWA KUTOA NJIA SAHIHI YA UTATUZI NA FARAJA,TUNAKUOMBA UTUKINGE NA KUKUKOSEA KWA KULAUMU MATOKEO HASI KATIKA MAISHA,ILA TUELEKEZE KATIKA IMANI KWAMBA TUTAMBUE HUO WOTE NI UFALME WAKO KATIKA MAJARIBU,UTUJAALIE TUSHINDE MAJARIBU BILA KUKUKOSEA KWA JINA LAKO NA UTUKUFU WAKO WA MILELE."AMEEN"
Hapo mkuu umenena ushauri mzuri na wa maana katika sekta zote hata zile ambazo sio za kilimo.Watu wengi huwa wanasahau kuwa 'no pain, no gain!' Pia changamoto ndio zinakufanya uielewe biashara/kilimo kwa undani zaidi.
Mungu akubariki na atusaidie sisi wote katika safari hii ya ujasiriamali.
 
Habari zenu wana jukwaa!

Mimi ni mjasiriamali niko Morogoro mjin! Nimehangaika sana kwenye vibiashara vyangu vidogo kwa takriban miaka 10 sasa hivyo nimefanikiwa kupata tsh ml 5 hivyo ninaomba mchango wa mawazo yenu jaman nifanye biashara gani ili niweze kujipatia kipato cha kila siku japo hata 10 elfu kwa siku sio mbaya.

Natanguliza shukrani zangu kwenu wana jamii
Used photocopy machine kwa bei poa na zipo vizuri
 
Hongera kwa kufanya biashara na kuweza kutengeneza 5M. Mimi ushauri wangu, kama ninavyowashauri wengi ni kuhakikisha unajiuliza maswali 3

1. Nini Passion yako? Unapenda kitu gani? Kitu ambacho hata kama bure unaweza kukifanya. Kitu ambacho kamwe huboreki nacho. Kitu ambacho unaweza ukajifunza kila siku na kuwa mzoefu kuliko watu wengine. Hii muhimu sana kwani hutokata tamaa.
2. Kitu hicho kinaweza kukuzalishia pesa? Yaani unaweza kutengeneza biashara kwenye passion yako?
3. Je hicho kitu kina soko? Watu wapo tayari kukulipa pesa kwa hilo jambo?

Kama majibu yote ni yenye kurithisha basi utakuwa ni mwenye kufanya biashara na hutokuwa na uwoga wa kufeli. Sikushauri kufanya biashara uliyokuwa huipendi japokuwa ni yenye kuingiza pesa. Itakutia ma stress bure. Na vile vile sikushauri uhangaike kufanya biashara 3 wakati mmoja. Anza na jambo moja, feli kidogo, tengeneza pesa, feli tena, tengeneza pesa zaidi, feli zaidi, tengeneza pesa tena na tena na tena mpaka uwe mzoefu wa jambo lako. Usiogope kufeli. Hakuna mfanyabiashara mwenye mafanikio hapa duniani aliyekuwa hajafeli.

Huo ndio ushauri wangu. I hope itakuwa imekusaidia.
 
Acha kufikiri biashara kubwa kwa mtaji huo.
Anza na biashara ndogo ukipata uzoefu ndipo ukuwe kidogokidogo.
Mfano umeshauriwa daladala sasa mfano hice iliyotumika ulaya 54 au zaidi sasa hiyo 10ml upate gari mbovu na utakuwa mwanzo wa kufirisika na madeni juu.
Kuwa mwangalifu
 
Back
Top Bottom