MmatengoOG
Member
- Sep 1, 2020
- 28
- 26
Wapi, mitaji ipo ila hatujui tuwekeze niniMkuu,Kuna Location ambayo unaweza kuwekeza kama TZS 3-7 Milioni kwa biashara na unaweza pata faida nzuri sana.PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi, mitaji ipo ila hatujui tuwekeze niniMkuu,Kuna Location ambayo unaweza kuwekeza kama TZS 3-7 Milioni kwa biashara na unaweza pata faida nzuri sana.PM
PM MKUUWapi, mitaji ipo ila hatujui tuwekeze nini
Kama nakupatajeTeh teh teh teh my charge is 5% of the your capital Package Business Plan, Feasibility Study, Marketing Plan etc.
Its a joke, do not rush think thoroughly kabla hujaamua kuwekeza, check with some NGOs zinazotoa ushauri wa kitaalam na fanya homework on larverages, risk etc. Cause 10 million is not enough capital for a real business, you will need more so do not jump to a big plan without a back up and do not invest the all amount. You need to Budget only for 60% something like 6 Million and the rest leave them in the bank as a backup capital incase of anything. Wala usizitumie kujenga heshima bar, walevi hawana heshima. Good Luck
Wazee wa fursa
Nipo Mwanza mkuuUpo mkoa gan kwanza?
Sikopeshi nipe wazo la biashara mkuu
Asante mkuu nimekukopMwanzo ulikua unafanya shughuli gani iliyokuwezesha kupata hiyo 10M
Kwa nn usendelee na hiyo shughuli yako uliyokua unafanya.
Kuhusu biashara Fanya kwanza utafiti taratibu kutokana na sehemu uliyo na kufikiria mwenyewe kua ni biashara gani hapa nikifanya Kutokana na eneo nililopo nitafanikiwa au itatoka kirahisi, usije na mawazo ya kufungua biashara na kumuachia mtu asimamie, ukiamua kufanya biashara ili ikulipe na iendelee Simamia mwenyewe, ukiamini mtu itakula kwako.
Subiri na mawazo ya wadau wengine mkuu
Pia kua makini kuna wengine humu watakua wanaitolea macho hiyo pesa uliyonayo
Kama biashara hipi mkuu ambayo naweza kuanzia hata kwa m3Mil10 sio kamtaji mkuu.
Ningekushauri ukiweza kama ukishapata wazo weka mil5 pembeni kabisa halafu jiambie una mil 5 ya mtaji. Then hiyo ndio ifanyie kazi. Ukiweza wekeza hata mil 3 tu kwanza.
Hiyo nyingineinaweza kukupanulia biashara ambapo tayari unaweza kuwa ushapata uzoefu nayo