Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu dadavua, hili soko ni kutoka wapi?Dili ya direct tairi chakavu kwa mtaji wa nusu ya hiyo hela.. Masoko yapo machaka ya kupata mzigo yapo
Dili nyingine ya moja kwa moja oil chafu.. Faida yake haina hasara hata siku moja
Elezea kwa kina mkuu, tupo hapa kujifunzaDili ya direct tairi chakavu kwa mtaji wa nusu ya hiyo hela.. Masoko yapo machaka ya kupata mzigo yapo
Dili nyingine ya moja kwa moja oil chafu.. Faida yake haina hasara hata siku moja
Mshapata solution ya caborn black nataka kwa wingi kuzalisha tofaliDili ya direct tairi chakavu kwa mtaji wa nusu ya hiyo hela.. Masoko yapo machaka ya kupata mzigo yapo
Dili nyingine ya moja kwa moja oil chafu.. Faida yake haina hasara hata siku moja
Zalisha mkaa italipa zaidiMshapata solution ya caborn black nataka kwa wingi kuzalisha tofali
Oil chafu unauzia wapi na inatumika kufanyia niniDili ya direct tairi chakavu kwa mtaji wa nusu ya hiyo hela.. Masoko yapo machaka ya kupata mzigo yapo
Dili nyingine ya moja kwa moja oil chafu.. Faida yake haina hasara hata siku moja
Kuna vituo vingi sana wanakusanya kwa matumizi hayo hayo ya kutengeneza IDO... Na viwanda nimevitaja hapo juuoil chafu unauzia wapi na inatumika kufanuia nin
Mkaa unaweza waka bila blowerZalisha mkaa italipa zaidi
Mkuu oil chafu kwa 500k as capital naweza Fanya? Tupe ABC sisi jobless ambao tuna mtaji Mdogo.Dili ya direct tairi chakavu kwa mtaji wa nusu ya hiyo hela.. Masoko yapo machaka ya kupata mzigo yapo
Dili nyingine ya moja kwa moja oil chafu.. Faida yake haina hasara hata siku moja
Hakika Uchawi una postive impactHapo ndio mshana anapokua muhimu pamoja na uchawi wake
Hivi hizi burner za boiler zinachoma tu vizuri IDO au waste plastic oil bila shida yeyetoKuna vituo vingi sana wanakusanya kwa matumizi hayo hayo ya kutengeneza IDO... Na viwanda nimevitaja hapo juu
Yeah unatengeneza mkaa bandia wa makaa ya mawe percentage dust 70, clay mud 30Mkaa unaweza waka bila blower
Inategemea unahitaji joto kiasi gani.. La sivyo utahitaji blowerHivi hizi burner za boiler zinachoma tu vizuri IDO au waste plastic oil bila shida yeyeto
Hapo unazungumzia pipa tano au lita 1000Mkuu oil chafu kwa 500k as capital naweza Fanya ? Tupe ABC sisi jobless ambao tuna mtaji Mdogo.
Ni sawa pia ila changamoto itakuwa kwenye vibali na nyaraka na wafanyakaziDuka kubwa la dawa na vipodozi,tafuta sehemu ambayo mji unakua na kuna changamoto ya huduma ya afya au huduma za dawa,yenye watu wengi...soko ni watu woote,changamoto ni wakaguzi wasumbufu kipindi hiki na kama sio mtu wa kada ya afya itabidi ujifunze sana kuijua inavyoenda,faida ni nzuri kwa asilimia kubwa ya bidhaa...kuanzia 50% hadi 200%.