Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Fungua min garage hapo dar.
Utafanya repairing haya.
1. Repairing ya matairi.
2.utajaza upepo kwa air compressor
3.utamwaga Oil na kuweka oil mpya
4. Utauzwa Oil chafu
5.Matairi chakavu
6. Utauzwa spair parts .
Hii biashara inapesa hasa kwa dar ndio plan yangu kuifungua mwakani.
Zaidi skillls ndogo za magari na pikipiki utazifanya kama kufungua hapa kukaza pale still huwezi kosa Hela kwa dar hapo
Utafanya repairing haya.
1. Repairing ya matairi.
2.utajaza upepo kwa air compressor
3.utamwaga Oil na kuweka oil mpya
4. Utauzwa Oil chafu
5.Matairi chakavu
6. Utauzwa spair parts .
Hii biashara inapesa hasa kwa dar ndio plan yangu kuifungua mwakani.
Zaidi skillls ndogo za magari na pikipiki utazifanya kama kufungua hapa kukaza pale still huwezi kosa Hela kwa dar hapo