Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Kama uko sehemu poa na una ujuzi wa fani yoyote fungua hardware ya vifaa vya fani uliyosomea. Kama ni mm ningefungua ya vifaa vya umeme sababu vinalipa sana!
 
Nashukuru kwa ushauri wenu hasa don mangi, ki ukweli sijawahi kufanya biashara na ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kufanya buashara.
Ninachotaka ni kitu gani nianze nacho, stationery sawa hata grocery sawa ila hamjafafanua kwa undani. More pls
 
kabla ya kuanza kushauri ungesema unamakaa mkoa fulan,wilaya fulan apo ingekuwa rais sababu biashara nyingi inategemea na maitaj husika ya sehemu unayoishi
 
Habari wana JF; nategemea kupata kiasi cha Tshs millioni 10 hivi karibuni. Ninachowaza ni kufanya biashara tu. Ni biashara nyingi nawaza kufanya lakini naombeni ushauri wenu katika hili. Mi ni kijana je nifanye biashara gani?
yaani hujui hata biashara unayotaka kufanya? du hii ni hatari
 
Nashukuru kwa ushauri wenu hasa don mangi, ki ukweli sijawahi kufanya biashara na ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kufanya buashara.
Ninachotaka ni kitu gani nianze nacho, stationery sawa hata grocery sawa ila hamjafafanua kwa undani. More pls

You are welcome, for more details pm for an online appointment tunaweza tukaongea zaidi.
 
kabla ya kuanza kushauri ungesema unamakaa mkoa fulan,wilaya fulan apo ingekuwa rais sababu biashara nyingi inategemea na maitaj husika ya sehemu unayoishi

Mtaji nitaupata jan 2013,ni pesa ambayo nimeiweka kwenye fixed deposit account kwa hiyo nitaitoa january kwa sasa napokea ushauri tu na mawazo. kimakazi nipo arusha hapa tow maeneo ya sakina
 
Hivi watanzania tupoje? Kuhusu hili suala nipo serious sana sana, nimeamua kuuliza humu kwenye JF ili nipate mwongozo ki ukweli nimeishakaa na wafanya biashara wengi tofauti tofauti lakini mpaka sasa hakuna aliwe wazi kunieleza hasa kuhusu faida na challenge zake! Nisaidieni tu
 
mimi sina cha kukuambia ufanye, lkn ukishaanza hakikisha huingizi pesa yote kwenye bishara, kwamf, milioni nane milioni mbili ziweke pembeni na usiguse. kama kuna anaebishia ushauri wa kutoiingiza yite aseme na hoja yake hapa.
 
ziwekeze kwenye kilimo zitakuzalishia faida zaidi ya mara 3
 
Fungua tigo pesa, Mpesa na airtel money. Fedha zako hazitapotea.
 
wekeza kwenye Ardhi.

Hata mimi nimegunda kuwa kuwekeza kwenye ardhi ni mali zaidi ila kwa kaka milioni kumi huwezi jenga na kupangisha so you need to make a business and get more. Au labda anunue ardhi ili aje auze baaye? No hiyo haitamsaidia maana hiyo hela inabidi izae nyimgine.
nakutakia kila heri na baraka tele
 
kwani wewe una uzoefu wa shughuli gani,maana ukijidai kuwa specific kwenye kitu kimoja ambacho hujakizoea utashangaa hy milioni 10 imeyeyuka kama pande la barafu lililoanikwa juani!!!!!!!!!!!!!!!!! kama vp we piga biznez ya kichaga, fungua kibanda weka cement,nondo,mabati,nje weka sufuria la utumbo na jiko moja kwa ajili ya mahindi ya kuchoma, pia usisahau kutafuta hanger uweke walau nguo mbili tatu za mtumba, itakulip mkuu!!!!!
 
kwani wewe una uzoefu wa shughuli gani,maana ukijidai kuwa specific kwenye kitu kimoja ambacho hujakizoea utashangaa hy milioni 10 imeyeyuka kama pande la barafu lililoanikwa juani!!!!!!!!!!!!!!!!! kama vp we piga biznez ya kichaga, fungua kibanda weka cement,nondo,mabati,nje weka sufuria la utumbo na jiko moja kwa ajili ya mahindi ya kuchoma, pia usisahau kutafuta hanger uweke walau nguo mbili tatu za mtumba, itakulip mkuu!!!!!

Asante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom