Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
huo mkopo masharti yake yakoje kulipa? mbona ushaandika mchanganuo tayari japo huo mchanganuo hauko makini labda ndio malengo yako.
unaishi wap? na huo mkopo utalipa kwa muda gani na riba?
je una kazi nyingine?
Michango yako inaonyesha umebobea sana kwa mambo ya biashara.Naomba tuition.