Ccm inahakikisha inatawala milele, mwenyekiti wake anagawa pesa kwa kila ushindi!Wape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.
Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.
Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
Pilipili usiyoila inakuwashia nini?Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Povu litawatoka hao. Umegusa penyewe.
Kuna michezo mingi marekani kuliko uk
YOU ARE MISSING THE POINT..!!Mwanafalsafa mzuri. Vyote ulivyovitaja kama mfanano na mpira bado havilanganiki na mpira.Ukifanya ngono kwa mke wako ni halali na huenda mkapata mtoto.Ukienda kuangalia wanyama unaburudika na kupata mazingatio na kunoa akili yako.Pesa uliyotoa huko inalipa kabisa
Sasa niambie unapoingia uwanjani kuangalia vijana waliochonga viduku na kusuka nywele unapata nini ?
Kama ni mbugani nikakuta muongozaji kanyoa kiduku inakuwa ni bahati mbaya na japo nachukia nitaendelea kuangalia fisi na simba wakigombea mzoga.Uwanjani unakwenda kumuangalia mtu unamjua na anatangazwa sana lakini kajiharibu sura mpaka mama yake na ndugu zake wanamsahau.Hili linanichafua zaidi.Mbwembwe zote hizi na mwisho hakuna burudani yoyote ya maana.YOU ARE MISSING THE POINT..!!
Kwanza nikupinge, kuwa mke na mume wanafanya ngono..!! Jambo ni moja, lakini utaratibu unafanya jambo hilo hilo liitwe haramu au halali. Mke na mume, kwa sababu wamepitia taratibu zote za ndoa, wanafanya tendo la ndoa. Hao hao kama hawajaoana, basi wanafanya ngono, tena wakati mwingine ngono zembe. Na ndiyo maana hakunaga tendo la ndoa zembe..!!
Kuhusu kuangalia mpira na kwenda mbuga za wanyama, the point is, wote mnatoa hela, na wote mnaishia kuburudika. Mind you, hatuendi mpirani kuangalia viduku, bali kile kinachofanywa na hao walionyoa viduku. Hivyo basi tunapokwenda uwanjani kuangalia vijana hatuendi kwa ajili ya viduku na kusuka nywele kwao, bali boli wanalolisambaza uwanjani. kama ni nywele au viduku hata wanaoongoza watalii huko mbugani nao wanavyo hivyo viduku. Hata wauza bar au wahudumu wa mabaa nao wapo wenye viduku na kusuka nywele. Huendi baa kwa ajili ya viduku vyao, bali bia au vinywaji wanavyoukuuzia.
We huna hoja. Unajaribu tu kujieleza kutetea jambo usiloweza kulitetea.Kama ni mbugani nikakuta muongozaji kanyoa kiduku inakuwa ni bahati mbaya na japo nachukia nitaendelea kuangalia fisi na simba wakigombea mzoga.Uwanjani unakwenda kumuangalia mtu unamjua na anatangazwa sana lakini kajiharibu sura mpaka mama yake na ndugu zake wanamsahau.Hili linanichafua zaidi.Mbwembwe zote hizi na mwisho hakuna burudani yoyote ya maana.
Na mentality kama hii yako ndio hufanya waafrika wengi kubaki maskini.Maisha mafupi acha watu wafanye starehe wanazopenda.
Usinifokee, mtu Kama hakuombi msaada wako ya Nini kujisumbua na maisha Yake.Acha kila mtu aishi maisha YakeNa mentality kama hii yako ndio hufanya waafrika wengi kubaki maskini.
Maisha ya waafrika wengi ni ya kimaskini kutokana kwamba,
Unakuta Babu yako alisema hivi hivi maisha mafupi akala Bata, Baba yako akazaliwa kwenye umaskini akasema maisha mafupi acha nile Bata, ukazaliwa wewe kwenye umaskini ule ule, Na wewe una endeleza mentality ile ile ya kula Bata kwa vile maisha ni mafupi.
Mwisho wa siku familia,jamii, taifa na bara zima la Afrika linabaki na Umaskini kwa kurithishana mentality hii.
Ndio maana Umaskini ni wa kudumu milele Africa.
Hakika.Balaa!
Jamaa kapiga kwenye utosi mbaula moja tu.
Mtoa mada Ami utapewa maneno ya karaha na kuudhi na kuutweza Utu wako kiwango cha chini kabisa, usijali, unatakiwa kuvumilia maana ulichokisema ni sahihi na daima kitasimama. Kwa watu wenye uelewa pekee.
Taifa la wadangaji na wachambuzi uchwara.
Jamaa anataka kutupangia mpaka starehe😀Mpira ni moja ya starehe Faza inaonekana sio mpenzi wa mpira ndio maana unashangaa watu wakijadili mpira...
Usinifokee, mtu Kama hakuombi msaada wako ya Nini kujisumbua na maisha Yake.Acha kila mtu aishi maisha Y
Your emotions overrides logic because you don't want the truth, But constant reassurance that what you believe is the truth.Usinifokee, mtu Kama hakuombi msaada wako ya Nini kujisumbua na maisha Yake.Acha kila mtu aishi maisha Yake