Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

Huyo mwizi mkubwa mali za umma wala sio wa kusifia.

1. Akunywa gesi yote
2. Mambo ya Epa
3. Tegeta ..escrow
4. Kashfa aliyomtoa Lowasa kafara, mzee wa watu mgonjwa hadi leo.

5. Kujilimbikizia ardhi nchi nzima kwa kumtumia Riz1.

Jamaa ni bonge la jambazi, hata hii DPW yeye ndiye Injinia wa mchoro mzima, jamaa hataki kustaafu ksbisa..

Huyu kikizaliwa kizazi chenye akili makaburi ya ukoo wake na yeye yatapigwa kiberiti.
 
Unaijua Asilimia 97 wewe? Ingekuwa hivyo si Mwendazake angemalizia hiyo Asilimia 3 Ili Mikoa yote iwe imeunganishwa? Acha uongo basi.
Haya majambazi ya ccm mmekutana...hebu raruaneni mkichoka tutamalizia na rungu vichwani mwenu tu mrudishe namba🤣🤣🤣🤣
ChoiceVariable uta diskike post zangu hadi uache uchawa na nitakula bampa to bampa nawe hadi uache uchawa wa kijinga🤣🤣🤣
 
Ana ka msemo kake kwamba ukitaka kula lazima uliwe.
 
Himo marangu pia kadanganya hiyo barabara ina lami nadhani tangu enzi ya mkoloni
 
Mhavile Flyover ipo sehemu gani Mkuu?
Unamchukia JPM lakini hizo Barabara unazozitaja yeye ndiyo alisimamia kama Waziri wa Ujenzi,unapoongelea masuala ya miundombinu Tanzania, Magufuli ndiyo icon.
Samia kumsifia bado sana, ndiyo kwanza kashaharibu mambo na DP World yake!

Hutaki hamia Burundi!
 
Kuna watu hawajui kutenda haki.

Kosa moja wanachukia na mabaya yote.
JPM ana makosa yake lkn hayaondoi ukweli kuwa ana mazuri yake
 
Kuna watu hawjui kutenda haki.

Kosa moja wanachukia na mabaya yote.
JPM ana makosa yake lkn hayaondoi ukweli kuwa ana mazuri yake
Fact 100% Mkuu, Watanzania tunapenda unafiki na majungu yasiyo na msingi.
 
We mpuuzi unaleta ushindani usiokua na maana kujifanya Magu hakufanya chochote.

Njombe-Makete ile lami umeijenga wewe????

Barabara alizojenga unaemshabikia hazijamaliza hata miaka kumi zimefumuliwa zinajengwa upya.
Ref, Dodoma-Iringa
 
We mpuuzi unaleta ushindani usiokua na maana kujifanya Magu hakufanya chochote.

Njombe-Makete ile lami umeijenga wewe????

Barabara alizojenga unaemshabikia hazijamaliza hata miaka kumi zimefumuliwa zinajengwa upya.
Ref, Dodoma-Iringa
Mzee wa 10%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…