Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

Huyo mwizi mkubwa mali za umma wala sio wa kusifia.

1. Akunywa gesi yote
2. Mambo ya Epa
3. Tegeta ..escrow
4. Kashfa aliyomtoa Lowasa kafara, mzee wa watu mgonjwa hadi leo.

5. Kujilimbikizia ardhi nchi nzima kwa kumtumia Riz1.

Jamaa ni bonge la jambazi, hata hii DPW yeye ndiye Injinia wa mchoro mzima, jamaa hataki kustaafu ksbisa..

Huyu kikizaliwa kizazi chenye akili makaburi ya ukoo wake na yeye yatapigwa kiberiti.
Hivi kwa mfano ukiambiwa uoneshe hiyo ardhi nchi nzima aliyojilimbikizia kikwete kwa kumtumia ridhiwani unaweza kuonesha?
 
Choma cha nkola hadi Ziba hadi Mwisi sijui serikali gani itazijenga hizo barabara.
 
Piga Ua, huwezi taja Barabara yeyote ile bila ya Kumtaja Magufuli.
 
Mi barabara ya mji mpya Morogoro,lami ni kama ukoko tu,imeharibika vibaya na manispaa hawafanyi maintenance.
 
Back
Top Bottom