Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

JPM alikuwa na mambo makubwa ndiyo maana mnaona kama kwenye barabara hajafanya kitu! Hebu ona, daraja la tanzanite, daraja la Busisi, Meli 2 za ziwa Victoria (1 ukarabati 1 mpyaaaaa), Meli mpya ziwa Nyasa, utitiri wa ndege za ATCL, Bwawa la umeme, SGR, Flyover kila mahali, Bomba la mafuta kutoka Uganda n.k. Hakika JPM asilinganishwe na takataka!
Hayo mambo makubwa hakuna alichokamilisha hata Kimoja licha ya kusimamisha maendelea sekta zingine 🤣🤣

Mnazunguka zunguka wewe,jibu ni kwamba hakuwa na hela na hakuwa na hizo akili za kutafuta hela kama Rais Samia,mtu asiye na connection ni hasara
 
Nasikia kwenye kujenga barabara shinyanga-nzega-manyoni....udongo uliochimbuliwa ulipelekwa South...

Stories za kijiweni
 
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi pengine kuwakumbubusha au kuwajulisha kwa wale ambao hawafahamu maana kuna sijui vitoto au watu wazima kwa makusudi wanamkejeli Kikwete kana kwamba hakuna lolote ila Magufuli ndiyo kafanya mambo mengi.

Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.

Mzee Kikwete alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:

Mwanza-Geita-Bukoba

Nzega-Tabora

Manyoni-Itigi-Tabora

Dodoma-Iringa

Singida-Babati-Minjingu

Minjingu-Arusha

Arusha-Namanga

Babati-Kondoa-Dodoma

Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi

Tanga-Mkinga-Horohoro

Himo-Holili

Himo-Marangu-Rombo-Tarakea

Songea-Mbinga

Mbeya-Sumbawanga

Sumbawanga-Mpanda

Bagamoyo-Msata

Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara

Mwanza-Musoma

Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM

Kijazi Interchange

Mhaville Flyover

Mbezi Louis Bus Terminal

Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi

Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma

Chato International Airport

Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%

Anatokea mtu anasema Kikwete hajafanya kitu ila Hayati Magufuli, kiukweli Magufuli alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa.

Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea.

Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magufuli kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.

Kila eneo huyu Rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia.

Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.

Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.
 
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi pengine kuwakumbubusha au kuwajulisha kwa wale ambao hawafahamu maana kuna sijui vitoto au watu wazima kwa makusudi wanamkejeli Kikwete kana kwamba hakuna lolote ila Magufuli ndiyo kafanya mambo mengi.

Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.

Mzee Kikwete alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:

Mwanza-Geita-Bukoba

Nzega-Tabora

Manyoni-Itigi-Tabora

Dodoma-Iringa

Singida-Babati-Minjingu

Minjingu-Arusha

Arusha-Namanga

Babati-Kondoa-Dodoma

Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi

Tanga-Mkinga-Horohoro

Himo-Holili

Himo-Marangu-Rombo-Tarakea

Songea-Mbinga

Mbeya-Sumbawanga

Sumbawanga-Mpanda

Bagamoyo-Msata

Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara

Mwanza-Musoma

Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM

Kijazi Interchange

Mhaville Flyover

Mbezi Louis Bus Terminal

Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi

Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma

Chato International Airport

Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%

Anatokea mtu anasema Kikwete hajafanya kitu ila Hayati Magufuli, kiukweli Magufuli alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa.

Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea.

Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magufuli kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.

Kila eneo huyu Rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia.

Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.

Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.
Tunamshukuru sana Hayati Magufuli Kwa uzalendo wake. Unaachaje kumtaja waziri wa miundo mbinu
 
Manyoni- Itigi-Tabora, 2015 December,nimepita ikiwa ni vumbi barabara yote,..kama hili umedanganya,ninaamini zipo barabara nyingi umetaja kwa kudanganya maana lengo lako ni kumpaisha mtu flani dhidi ya mwingine..

Kwa kuwa unajua upo uwezekano wa sisi sote tulioko humu, hatukupita kwenye barabara zote ulizotaja hadi kufikia November 2015, unadhani utatudanganya kirahisi tu
Eti kaweka na Musoma-Mwanza, hata hajui imejengwa lini huyu!
 
Manyoni- Itigi-Tabora, 2015 December,nimepita ikiwa ni vumbi barabara yote,..kama hili umedanganya,ninaamini zipo barabara nyingi umetaja kwa kudanganya maana lengo lako ni kumpaisha mtu flani dhidi ya mwingine..

Kwa kuwa unajua upo uwezekano wa sisi sote tulioko humu, hatukupita kwenye barabara zote ulizotaja hadi kufikia November 2015, unadhani utatudanganya kirahisi tu
Hata ya Mwanza-Musoma ni kamba!

Nilipita August 2005 ilikuwa lami tayari.

Hiyo Tinde-Isaka imejengwa na mkandarasi GreenAcres na hicho kipande ni sehemu tu ya kazi yake ya Nzega-Tinde-Shinyanga-Maganzo hadi uunganishe na lami ya mkoa wa Mwanza ni enzi za Mkapa.
 
Pesa zetu wenyewe sifa wapewe wengine Kwa nini tusijisifu SISI kama watanzania Kwa ulipaji Kodi mpaka zikawezesha tujenge hiyo miundombinu?
 
We mpuuzi unaleta ushindani usiokua na maana kujifanya Magu hakufanya chochote.

Njombe-Makete ile lami umeijenga wewe????

Barabara alizojenga unaemshabikia hazijamaliza hata miaka kumi zimefumuliwa zinajengwa upya.
Ref, Dodoma-Iringa
Njombe Makete imeanza kipindi cha Kikwete Magufuli ameingia madarakani amewakuta wakandarasi wanaendelea na kazi

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi pengine kuwakumbubusha au kuwajulisha kwa wale ambao hawafahamu maana kuna sijui vitoto au watu wazima kwa makusudi wanamkejeli Kikwete kana kwamba hakuna lolote ila Magufuli ndiyo kafanya mambo mengi.

Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.

Mzee Kikwete alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:

Mwanza-Geita-Bukoba

Nzega-Tabora

Manyoni-Itigi-Tabora

Dodoma-Iringa

Singida-Babati-Minjingu

Minjingu-Arusha

Arusha-Namanga

Babati-Kondoa-Dodoma

Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi

Tanga-Mkinga-Horohoro

Himo-Holili

Himo-Marangu-Rombo-Tarakea

Songea-Mbinga

Mbeya-Sumbawanga

Sumbawanga-Mpanda

Bagamoyo-Msata

Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara

Mwanza-Musoma

Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM

Kijazi Interchange

Mhaville Flyover

Mbezi Louis Bus Terminal

Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi

Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma

Chato International Airport

Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%

Anatokea mtu anasema Kikwete hajafanya kitu ila Hayati Magufuli, kiukweli Magufuli alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa.

Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea.

Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magufuli kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.

Kila eneo huyu Rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia.

Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.

Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.
Kipindi hicho Hayati JPM alikuwa Waziri wa Ujenzi, ilipelekea siku moja hadi akateleza ulimi akasema BARABARA ZA LAMI TULIZOJENGA HAPA UKIZIHAMISHIA RWANDA NCHI YOTE INAKUWA LAMI WANAKOSA PA KULIMA
Nilicheka mno siki hiyo! JK alifanya kazi kubwa mno; hasa kwenye upande huu wa infrastructures pamoja na elimu
 
JK alijenga Barabara zikakamilika,Kuna yule mwingine eti yeye alikuwa anaanzisha [emoji16][emoji16]
Mmoja katawala miaka 10 na mwingine miaka 5 tu,unawezaje kuwalinganisha.Ungeweza kuwaweka kwa mzania mmoja uwapime kama na huyu mwingine angetawala kwa miaka 10 na hizo alizoanzisha akashindwa kuzimaliza kwa kipindi hicho.
 
Mmoja katawala miaka 10 na mwingine miaka 5 tu,unawezaje kuwalinganisha.Ungeweza kuwaweka kwa mzania mmoja uwapime kama na huyu mwingine angetawala kwa miaka 10 na hizo alizoanzisha akashindwa kuzimaliza kwa kipindi hicho.
Miradi aliyokamilisha nadni ya miaka 10 Iko wapi?
 
Back
Top Bottom