Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

Usijisahaulishe kuwa waziri wa Ujenzi alikuwa Magufuli ambaye alikuwa anaenda kudai bajeti yake kibabe mkimkatalia anasogeza miwani yake kwa kidole kimoja akaunti inasoma.

Sasa twambie hiyo kasi imeishia wapi kwa waziri Mbarawa
Kwa hiyo kama waziri ndo mjenzi,awamu ya 5 waziri wa ujenzi alikuwa magufuli?kwo hakufanya kitu ktk awamu yake sasa
 
Kumbuka JPM ni miaka mitano 5! Marudio ya barabara ya Isaka - Rusumo ni enzi ya Magufuli! Ukiweka miradi yote JPM amewapiga bao la uhakika hao matutusa!
Alijengea mdomoni sana kuliko uhalisia.Jk na Samia hawaongei sana,ni vitendo tu
 
Mmoja hapo kakaa miaka mitano mwingine 10 ila unaona wote wana grounds sawa za kupambanishwa.
 
Hii wizara ilikuwa haiendeshwi na raisi la sivyo Kawambwa angeweza kuonyesha ufanisi kama Magufuli.
Kama siyo ubunifu wa JPM kuifungua Dar kwa fly overs na barabara mbili sasa hivi Posta - Tegeta, posta-Kimara tungekuwa tunaitembea kwa siku nzima.
Sukuma gang mna tatizo kwenye ubongo sio Bure.Wakati wa JK mnakataa kazi za JK eti Kwa kuwa magu alikuwa waziri wa ujenzi.Kwa hiyo magu ktk awamu yake yeye pia alikuwa waziri wa ujenzi?
 
Wewe ndo muongo.Barabara ilianza kujengwa na JK,Magu akaja kuimalizia
 
Fuatilia vzr ww.IPTL ulikuwa ya mkapa.Sema JK alikuwa mwingi wa busara.Aliyabeba kama yake.Huyo magu wenu kama alikuwa msafi Kwa nini alimfukuza kazi CAG ASAD?Kwa nini hakuuweka wazi mkatava wa ununuzi wa ndege, ujenzi wa SGR?Acheni chuki za kijinga.Kwa Sasa JK is the best.Labda aje kufunikwa na Samia
 
atakufa tu, atalipa damu alizomwaga na yote aliyodhulumu ataacha hapahapa
 
Kwa hyo magu ktkt awamu yake yeye pia alikuwa waziri wa ujenzi?
 
We mpuuzi unaleta ushindani usiokua na maana kujifanya Magu hakufanya chochote.

Njombe-Makete ile lami umeijenga wewe????

Barabara alizojenga unaemshabikia hazijamaliza hata miaka kumi zimefumuliwa zinajengwa upya.
Ref, Dodoma-Iringa
Kwo ulitaka barabara idumu milele wkt inatumika co?Mbona ya magu(usagara-kisesa) imeshaanza kuharibika?
 
Usijisahaulishe kuwa waziri wa Ujenzi alikuwa Magufuli ambaye alikuwa anaenda kudai bajeti yake kibabe mkimkatalia anasogeza miwani yake kwa kidole kimoja akaunti inasoma.

Sasa twambie hiyo kasi imeishia wapi kwa waziri Mbarawa
Upo sawa kabisa, mpaka boss wake aliwahi mwambia apunguze ukali naye akajibu mie nilikuja bungeni kama mbunge, uwaziri si kitu hata ukichukuliwa.
 
Kumbuka JPM ni miaka mitano 5! Marudio ya barabara ya Isaka - Rusumo ni enzi ya Magufuli! Ukiweka miradi yote JPM amewapiga bao la uhakika hao matutusa!
Kama mto wami daa ulikuwa mfupa wa nguruwe ule ila JPM kaumaliza
 
We mpuuzi unaleta ushindani usiokua na maana kujifanya Magu hakufanya chochote.

Njombe-Makete ile lami umeijenga wewe????

Barabara alizojenga unaemshabikia hazijamaliza hata miaka kumi zimefumuliwa zinajengwa upya.
Ref, Dodoma-Iringa
Ile barabara ya mbagala kuu, kama jina lake utazani imejengwa enzi za mkoloni
 
Hizi ndio akili za walimu. kazi ipo
 
The most corrupt President of all times, hajatokea (pamoja na drug trafficking) JK.

Rais aliyekuwa na Vision - JPM

Dumb President- Sisemi anajulikana

Huna haja ya kuyaorodhesha yote hayo
 
Alijengea mdomoni sana kuliko uhalisia.Jk na Samia hawaongei sana,ni vitendo tu
JPM alikuwa na mambo makubwa ndiyo maana mnaona kama kwenye barabara hajafanya kitu! Hebu ona, daraja la tanzanite, daraja la Busisi, Meli 2 za ziwa Victoria (1 ukarabati 1 mpyaaaaa), Meli mpya ziwa Nyasa, utitiri wa ndege za ATCL, Bwawa la umeme, SGR, Flyover kila mahali, Bomba la mafuta kutoka Uganda n.k. Hakika JPM asilinganishwe na takataka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…