Ni suala la muda tu
Fanya utafiti kuhusu athari za pombe kali kwenye mwili wa binadamu
Ni suala la muda tu
Fanya utafiti kuhusu athari za pombe kali kwenye mwili wa binadamu
MwenyeziMungu amfanyie wepesi arudi katika afya yake imaraJanabi alisema ukipima kiuno chako ukakuta kipimo ni "37-40 in" ujue upo kwenye hatari ni mgonjwa wa kisukari mtarajiwa, presha na maradhi mengine mengi
Nenda mahakamani ukaone kama talaka zinachagua umri
AiseeJuzi kati niliona wana sherehe yao nahisi wameenda kweny mbuga fulani huko Arusha kama sijakosea.
Sijui imekuwaje kweny viwiko vya mkono ,vimerefuka.
JD ndo alikua akimuombea Prof j aache pombe, kumbe naye hupiga!?Gadna na Lady JD ni wahanga wakubwa wa pombe kali na nyingi. Wabadilike sasa, tusije kuwapoteza. Bado tuna wahitaji sana.
Wanawake hawaeleweki mkuu.tena saiv kwenye shida wanasepa.Tofauti yangu na wewe ni experience, usiharakishe, utakuja nielewa, mwanamke ni wa Muhimu, hasa unayekuwa naye mda mrefu, ups and down ans create bond
Huwezi oa mke ukina wa 30 mkavumiliana mpaka mkafika 45 au 50 akakimbia, hao ni mahawara wenu.