Pre GE2025 Mtangazaji wa ITV na Tundu Lissu hakika mmetutendea haki sisi watanzania kwenye kipindi cha dakika 45

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hashim rungwe alisema hakuna vikao vya maridhiano ni kitchen party tu wanakula ubwabwa wanaondoka na posho kwenye bahasha, sasa huyu lissu kakaa mwaka mzima akivuta posho na kula wali wa abdul halafu anasema eti mazungumzo yamekwama, wameona wasipotengeneza amshaamsha november watatoka mikono mitupu
 
Naunga mkono hoja
 
Kusema cha ukweli,kwa tulipofikia midahalo haisaidii,sisi watu wa kizazi hiki hatuna attention span ya lisaa lizima wala hatuwezi kudadavua mambo kiundani
Jisemee wewe, mimi muda huo nnao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…