TANZIA Mtangazaji wa TBC Taifa, Elisha Elia Mwakalinga afariki Dunia

Sasa kujulikana,maelfu ya watu kutoa pole ndo kunamfufua au ndo kunabadilisha nini ?.We are all the same when it comes do death maarufu or not,tajiri or maskini.
 
Umeongea point sana. Kweli kabisa kutangaza, kuimba ,kuigiza kila binadamu anaweza.
 
Sasa kujulikana,maelfu ya watu kutoa pole ndo kunamfufua au ndo kunabadilisha nini ?.We are all the same when it comes do death maarufu or not,tajiri or maskini.

mkuu,you got me wrong, nilikuwa najaribu kumkosoa huyo jamaa aliyemuita mwenzie “mavi” which means hana thamani yoyote,jaribu kusoma tena utanielewa
 
Sasa kujulikana,maelfu ya watu kutoa pole ndo kunamfufua au ndo kunabadilisha nini ?.We are all the same when it comes do death maarufu or not,tajiri or maskini.
Sijamsema Elisha. Sina tatizo na Elisha (RIP) Ninachokikataa ni kuwa pengo halitazibika. kama pengo la Albert Einstein lilizibika na theoretical physics inaendelea, sembuse hawa!
 

ooh,powa mkuu nimekuelewa basi nilidhani unamuongelea jamaa.pamoja sana mkuu
 
Alikuwa anaripoti vizuri habari za CHATO na LUMUMBA Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
 
Rufus kusoma tena post yangu,,sina la kukujibu zaidi
 
Kwan mahaba ya mbogamboga ndio yamemuua? Ebu acha itikadi zako za kisiasa kwenye mambo kama haya, ata wanao msifisia lisu nao wanakufa. Kumbuka alikuwa anafanya kaz na umoja wa mataifa pia kwaiyo nao utasema ni wana ccm?
Mwaka huu wajitathmnini maana wametembea wa kutosha
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…