Ukiona hivyo ujue watu wana stress mbaya. Mtu wenye furaha na amani hawezi kuwaza hivyo.Tz tumefikia pabaya sana, kifo cha mtu tunachanganya na misiasa yetu uchwara.......inatia kinyaa unaposoma comments.
Rip double E
Huyu hata mm nilishtuka kuna kipindi alipungua ghafla kuna rfk yetu alikua anafanya hapo tbc tukamuuliza mbona hivyo? na yy hakujibu loloteKuna yule jamaa wa habari za biashara....ashukuru Mungu tu anaruhusiwa kuvaa yale makoti
Hatumuombea mabaya lakini.....
Tunagawanywa kwa mengi.Ni kweli
Comments zinaashiria kuna mgawanyiko mkubwa kuliko tunavyodhani
Kuna historia ya marehemu inaongelewa humu nusu nusu mara ex mume mara akina Lutengano mara akina Rehema sijui wave ya pili etc....
Apumzike kwa Amani
Acha tumalizie kulikomboa Taifa
Umoja utarejea kupitia Lissu
Kama Kuna Jambo jema umelitenda. Kuna haja ya kupiga tarumbeta kwamba umefanya Jambo jema? Si watu wataliona. Sasa inamaana gani kuzunguka mikoa yote kwa kutumia Kodi za watu kuwaambia.Alikimudu kipindi cha TUNATEKELEZA,ila kazi ya kuzunguruka maeneo tofauti yenye hali ya hewa tofauti inahitaji mwili uwe na immunity ngangari
Inawezekana,ila siyo kwa issue ya msiba mkuuUkiona hivyo ujue watu wana stress mbaya. Mtu wenye furaha na amani hawezi kuwaza hivyo.
Inaonekana unamjua zaidi. Apumzike kwa amani.Ninadhan ninaweza kukubaliana na wewe kwa upande w elisha..kuna wakat alipoteza dira kabisa alikua mlevi kupindukia na kazini pia aliacha kuja kabisa..wakat huo alikua anahusishwa na mama mmoja hivi wazir wa enz..baadae sana ndhan baaada y canceling ya kutosha ndiyo akawa tena vizuri...
Na kipindi hiki ndiyo alikua anajiweka viziri kuitafuta nyota yake ila bahat mbaya ugonjwa uliomuua umemuua..so so sad kwa familia ya elia watoto wake wawil vanesa na lugano..pole kwao bado wanahitaji mapenzi yake hasa ukizingatia ni single futher..
Au ni ya dada mmoja aliigiza kama marichui, akiwa na willium levy? Sema nimeusahau jina.Mkuu hapana siyo hiyo. The long wait ilikuwa ya ufilipino ya kina hyina na Angelo nayo ilikuwa nzuri sana. Ila hii ilikua baada ya long wait ni telenovela ya Mexico
Hukujua hizo ni hela zetu za vidonda vya tumbo, na lishe?kumbe !!! ,huwa tunachukuliana powa sana huku Mitandaoni,hata mimi nilikuwa namchukulia powa Dr mwaka ila siku nilipoona gari analotembelea nilimpa heshima yake
🤣🤣🤣 huu ndio ugonjwa mpya nini?!Deportivo la Crown
Hata nature ya kazi inachangia... unakuta night shifts na kwenda field kwingi kwingi etcKuna baadhi institutions, kuzungukana kwingi, ikitokea samaki mmoja akioza basi........
Everyday is Saturday............................... 😎
Correct lakini waliachana...Wengine wanasema Kisa Mwaipyana.
Alikuwa ccm huyo, ila R. I. P brotherRest In peace. Ni nani huyu, mlijuaje ni CCM. Tusaidieni tuwaelewe, io mnaitana praise team afu mnatuacha njiani
Kama ndiyo yeye basi sawaJamani huyu kaka[emoji24] alikuwa anatangaza kipindi cha kishindo cha awamu ya 5. Apumzike kwa amani
Kuna member humu anajina hilo malafyalePoleni sana familia ya mzee Mwakagali.
R.I.P Malafyale
Mtu wa tiss ndio afisa kipenyoNimeona hiyo ya afisa kipenyo tu japo sijui maana yake.
Going so soon. Rest Easy son.
RIPMkurugenzi Mkuu Dkt. Ayub Rioba anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu, Mwandishi wa Habari Elisha Elia, kilichotokea tarehe 24/10/2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Taarifa zaidi zitatolewa.
Hilo sio jinaKuna member humu anajina hilo malafyale