KWELI Mtanzania Bara huruhusiwi kuendesha gari Zanzibar bila kuwa na kibali maalum

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Hii hatari kabisa. Huu muungano hapana
 
Nakubaliana na wewe.
 
Walinda AMANI wa TANZANIA YETU PENDWA wakati mwingine tunawasema humu vibaya (sababu ya mambo ya hovyo ya wanasiasa wetu) mtusamehe

Ila msije mkaacha KUIKALIA ZANZIBARI, nawahakikishia siku mkiondoka itakua KITOVU CHA UGAIDI na JIHAD.
Magaidi kwa nini hawaendi Comoro?
 
Eti wazanzibar ni waarabu
 
wazanzibar ni waarabu
Inawezekana kwa sababu Wapemba wengi ni Watoto wa kikeni si kiumeni ndiyo maana wengi hawana ubin wa kiasili wengi Wana ubin wa Kihindi, Kiyemeni, Kibangaladeshi, Kiarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni Watoto wa dada zetu wa kounguja waliozaa na wageni lakini waunguja waliozaana wao kwa woa ndiyo unakuta wa ubini wa kiasili ie Makame, Mbalawa, Jecha,
 
Ndio maana wakasaini mkataba baina ya Tanzania na Zanzibar.
 
Kwani Zanzibar wana nini? Hizo jamii ni moja tabia zao ni sawa

Wanakuja huku wanachukua ajira zetu, wanachukua viwanja na mashamba yetu, watu wao wanashika nafasi serikalini, wanafunzi wao wanapewa mikopo yetu, umeme wetu tunagawana nao na madeni tunawasamehe tukijua ni wenzetu tuko nao pamoja ila kumbe wanaona tunawashobokea ndo maana wanakua na maneno ya kashfa na dharau.

Kuhusu sisi waTanganyika kutokumiliki ardhi kwao walau inaweza kuwa justified kwamba eneo lao ni dogo, ila kama mpaka driving license inayotolewa na JMT kwao haiko valid, maana ya kuungana ni nini sasa?
 
Makubwa. Ivi why even bother? Zenj is 0.1% ya Tanganyika and less than 2% of its pop and we have access to the ocean from Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara; Yaani except ilo jina la Tanzania tunahitaji nn hasa from Zenj?🀐🀐🀐
 
Aisee
Tabu sana haya mambo
 
Makubwa. Ivi why even bother? Zenj is 0.1% ya Tanganyika and less than 2% of its pop and we have access to the ocean from Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara; Yaani except ilo jina la Tanzania tunahitaji nn hasa from Zenj?🀐🀐🀐
Tunahitaji fairness.

Malalamiko dhidi ya Muungano yasipuuze bali yafanyiwekazi
 
Kwanza hakuna mtu anaitwa mtanganyika hapa duniani, au umechanganyikiwa?
 
Leseni ya Tanzania hairuhusiwi Zanzibar bila kibali ?

Swali langu kwani Zanzibar sio sehemu mojawapo ya Tanzania ?
unasikiliza wapumbavu? Hiyo picha ni ya nani, kwa hiyo ukitoka bara ndio uitwe foreigner? watu hawamwogopi hata Mungu ni wazushi wa kipuuzi. We kwa akili yako uliona wapi mtu amesafirisha gari yake kutoka bara kwenda Zanzibar ili akaiendeshee kule. Wanajaribu kupandikiza chuki za kipumbavu ila ukiwa na akili utawagundua, ukiwa zuzu km wao utaingia kingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…